Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Mkuu kama una nyimbo za Taarabu za kitambo za Band za East Africa Melody,Zanzibar Stars na Jahazi Modern Taarabu naziomba.Pou
Pouwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kama una nyimbo za Taarabu za kitambo za Band za East Africa Melody,Zanzibar Stars na Jahazi Modern Taarabu naziomba.Pou
Pouwa
Ukiupata huu niambie mdauwimbo wa bendera, ule unaanza benderaaa ya tanzania,ndio ya kujivunia, imeanza kupepea, mwaka sitini na moja....
Wa pili ni wimbo wa Tazama ramani
Twanga Pepeta,Harusi.Aiyaiya kuolewa ntarudi nyumbani kutembea kwa heri baba yangu kuonana majariwa,,,,,,,natafuta wimbo huo jaman mwenye nao plz anisaidie
Mi ninao ni pm nikutumieMkuu,,
Kama umechota uhitaji wangu..
Huu wimbo nautafuta sana lakini siupati..
Elimu ya mjinga ni majungu-R.I.P banza stone..TOT PLUS.
"Bora ukose Mali upate akili".
Naomba tuwekee hapa tudownload mkuuMm ninao huu unaitwa mnyonge mnyongen
Wa mbaraka mwinshehe huo unaitwa Jogoo la shambaZilipendwa flan ivi unaimbwa "ilooo ooh, ukijifanya mjanja sana, aibu imekushika, kiko wapi. ." anayefahamu waliomba plz ntajie nigugo au km unao itkua poa sn
[HASHTAG]#zilipendwa[/HASHTAG]
dah mkuu hongera kwako
Utafute humu ulishawekwanatafuta mwimbo unaimbwa hivi:- sheira sheira nionee huruma kwani moyo unaniuma wengi wako niwabahati niachie huyu..........
Nimetafuta sijauona mkuuUtafute humu ulishawekwa
Sio harusi mkuu unaitwa kuolewa mtunzi luiza mbutuTwanga Pepeta,Harusi.
Wimbo unaitwa beatriceNaomba niwe mpangaji wa kudumu ndani ya moyo wakooo
By Zahiri Ally Baba yake Banana
Mass Media
Wimbo unaitwa beatrice
Horse- imam abbas na jay moe