ngulyabhule
JF-Expert Member
- Apr 5, 2020
- 226
- 377
Mwenye wimbo wa Malaine Malaine kumila imibhalagha pabhwegi bhwabhanino
Daaa nahisi huu wimbo na Mimi nauhitaji sana japo Mimi nilikuwa nahisi ni Paka na panya mana niliusikia nikiwa Mdogo sana hivyo hata waloimba siwakumbuki. Vipi unawakumbuka ni kina nani waloimba?Natafuta wimbo wa Chawa na Panya tunaishi nyumba moja kwanini usiku mnanisumbua....Ikiwezekana albamu nzima nimeisaka miaka kumi sasa mwenye nao au hii albamu msaada tafadhari......Kwa albamu nzima hela ya soda utapata
Sent using Jamii Forums mobile app
Natafuta Ikibinda Nkoi ya Diamond Sound...ilivuma sana 1996 na 1997
[/QUOTE][QUhipo sakua vizuri mwanaOTE="SUKAH, post: 34921527, member: 138483"]
Umezingua
Umeweka Gado remix ft JumaNature
Mi nimeiulizia Gado original ft InspectorHaroun
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikumbuki jamaaa alikuwa na albam mzee wangu alikuwa nayo nmeisikiliza sana utotoni na kuna nyimbo nyingine ilikuwa inazungumzia maswala ya UkimwiDaaa nahisi huu wimbo na Mimi nauhitaji sana japo Mimi nilikuwa nahisi ni Paka na panya mana niliusikia nikiwa Mdogo sana hivyo hata waloimba siwakumbuki. Vipi unawakumbuka ni kina nani waloimba?
Naomba mwenye wimbo wa Olduvai Band uitwao Ndumilakuwili. Una maneno yasemayo baba kaleta panya..
Huu hapa manwakuu mwenye wimbo unaitwa tulia uliimbwa na Jackie Marie naomba.
Niliuona uliowekwa ni cover umeimbwa na watu wengine sio Olduvai Band mkuu au walishaweka ule original? (Nikague thread nzima dakika hii)