Umetisha mkuu. Ipo siku tutaupata tu. Wale vichwa wameflow vizuri kweli mle. Ft. Dataz, Ngwea, Steve & team.Nimetafuta sana ktk library sijaukuta. SIjajua kama shida ni jina ama msanii mmiliki wa wimbo huo
Kuna wimbo niliuskia miaka ya 2011 hivi. Mwimbaji jina simjui ila
Ulikuwa ni wimbo anamwimbia mdogo wake anaitwa ZiTa ambae ametoroka nyumbani kisa uzuri wake akihangaika na wanaume
Sehemu ya kiitikio kuna mahali unasema
"Zita wewe zita wewe, zita mama rudi nyumbanii,Uwo uzuri wa sura yako walikuwepo kitambo"
Yaan nimeutafuta kila mahali sijawahi ufanikiwa. Mwenye kuwahi uskia au mfaham ni msanii gani anisaidie tu
Wimbo wa ZitaNami pia nautafuta mkuu mwimbaji kama sikosei alikua anitwa Alan alikua msanii chipukizi wa sumbawanga anaimba kama juma nature
Nokia kitochi
Huu hapa man. Hangaika naoIdimi Ninatafuta wimbo wa Malick, unaitwa Ameumbika, nafikiri aliimba na Q Chief.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mzuri ameumbika ni mzuri kama malaika , mimi kwake nimefika. Bonge la chorus la Q Chief.Idimi Ninatafuta wimbo wa Malick, unaitwa Ameumbika, nafikiri aliimba na Q Chief.
Sent using Jamii Forums mobile app
umeupata au? mi ninao tatizo umeahidi zawadi ndio maana sikutumii.....
Huu hapa. Enjoy