Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Natafuta sana huu wimbo: "Ndani ya Bongo" Mr. II enzi hizo '2Proud'.
 
Mwenye wimbo wa Mac D ft Unique Sisters - Bounce (usiku bado mchanga mbalamwezi inawaka).
 
Naombeni jina la wimbo fulani wa Africa kusini video yake jamaa alikuwa Kama anaperform jukwaan.
umepigwa leo TBC kwenye kipindi Cha zilipendwa,

WANA JAMII FORUMS, TUSIFANYE MAKOSA TENA OCT 2020
 
Naombeni jina la wimbo fulani wa Africa kusini video yake jamaa alikuwa Kama anaperform jukwaan.
umepigwa leo TBC kwenye kipindi Cha zilipendwa,

WANA JAMII FORUMS, TUSIFANYE MAKOSA TENA OCT 2020
Sijajua nakusaidiaje maana TBC huwa siangalii. Msanii anaitwa nani?
 
Wimbo Ni huu hapa, nimebahatika kurekodi marudio.

Naomba jina la msanii na jina la wimbo


WANA JAMII FORUMS, TUSIFANYE MAKOSA TENA OCT 2020
 
Jamani mwenye nyimbo kati hizi
1.Tam Tam band_Vijino pembe
2.Tam Tam band_Maisha kitendawili
3.K Mondo band_Neli
4.Q chilah_kina fulani
 
Kuna wimbo niliuskia miaka ya 2011 hivi. Mwimbaji jina simjui ila
Ulikuwa ni wimbo anamwimbia mdogo wake anaitwa ZiTa ambae ametoroka nyumbani kisa uzuri wake akihangaika na wanaume
Sehemu ya kiitikio kuna mahali unasema

"Zita wewe zita wewe, zita mama rudi nyumbanii,Uwo uzuri wa sura yako walikuwepo kitambo"

Yaan nimeutafuta kila mahali sijawahi ufanikiwa. Mwenye kuwahi uskia au mfaham ni msanii gani anisaidie tu
Nadhifa by Sajna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom