Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Weee! ususeme panya sema chamaki nchanga!

Nina mashakaa mimi na mke wangu..!
Nina mashaka..!
Kila nikitudi nyumbani amenuna ninamashaka..!!

Stakiiii stakiii ....umbea umbea wako nyumbani kwangu staki..!

Stakiii stakiii mikandambili yako nyumbani kwangu stakiiii!!

Naomba mwenye wimbo wa Olduvai Band uitwao Ndumilakuwili. Una maneno yasemayo baba kaleta panya..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WAKUU NARUDI YENA NDG YENU NAOMBA WIMBO WA TIPTOP CONNECTION NANI MWENYE THAMANI ULIOPO HUMU HAUFIKI MWISHO
 
Habari gani wadau, natafuta wimbo wa fid q ft nuruelly.. wenye chorus yenye maneno haya ''Taratibu nasema bado, tunajirusha na mambo bado, kwenye mikito ya adoado, na madj wako gado''

Mwenye huo wimbo naomba msaada wake plz
 

Attachments

Naombeni wimbo fluna hivi juma nature kashirikishwa unaitwa nimesha kwama. Umewahi postiwa humu lakini nimetafuta bila mafanikio

Upo hivi kiitikio[emoji116][emoji116]sir nature

Nimesha kwama Mimi nimesha kwama
Wapo wengi waliopotea lakini hawakupewa moyo na wenzao...

Asanteni Sana!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari gani wadau, natafuta wimbo wa fid q ft nuruelly.. wenye chorus yenye maneno haya ''Taratibu nasema bado, tunajirusha na mambo bado, kwenye mikito ya adoado, na madj wako gado''

Mwenye huo wimbo naomba msaada wake plz
YouTube nishawahi kuuona ila nimesahau jina lake. Andika Fid Q ft Nuruelly song...
 
Back
Top Bottom