Nyoka mwenye makengezaa
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 787
- 1,054
Natafuta nyimbo za Nuruely_(1) Mimi narudi nyumbani (2) Wewe nifuate Maaa.
Nahisi kwenye majini siko sahihi sana ila ndani ya nyimbo hizo mbili mashairi ya namna nilivyoandika hapo juu.
Msaada tafadhali kwani nimekuwa nikizitafuta kwa muda mrefu!
Sent using Jamii Forums mobile app
huo ni wa kibla sir necha msitu wa vina.....sema saivi ni msitu wa bia [emoji16]
Sent using Kirikuu