Zakayophillyx
JF-Expert Member
- Jun 2, 2012
- 306
- 103
Au ni viki wangu ehee kalale pema peponi viki wangu eheee daima nitakukumbuka!! ndio huo nini?Wimbo wa Patric Balisidya.
Jina la wimbo siujui,ila humo ndani anaimbwa Viki
Siukumbuki vizuri,nilibahatika kuusikiliza mara moja tu miaka ya 90s,nakumbuka beats zake zaidi,maneno siyakumbuki zaidi ya hilo jina Viki lilirudiwa sana kwenye huo wimboAu ni viki wangu ehee kalale pema peponi viki wangu eheee daima nitakukumbuka!! ndio huo nini?
Wataalamu watakuja mkuu.Siukumbuki vizuri,nilibahatika kuusikiliza mara moja tu miaka ya 90s,nakumbuka beats zake zaidi,maneno siyakumbuki zaidi ya hilo jina Viki lilirudiwa sana kwenye huo wimbo
Siukumbuki vizuri,nilibahatika kuusikiliza mara moja tu miaka ya 90s,nakumbuka beats zake zaidi,maneno siyakumbuki zaidi ya hilo jina Viki lilirudiwa sana kwenye huo wimbo
Sio mkuu nimeusikiliza sio wenyew bossThe sound
yess BiShoo haswaaAaa
Jaribu kuusikiliza youtube wimbo "Paka Wewe" wa huyo Mbilia Bel. Natumaini utakuwa ndio wenyewe.Kuna wimbo fulani hv nahis ni wa Mbilia bell una mashair yanasema "mabwana wengi wanantaka mimi mwana maskini" anaejua jina la wimbo anisaidie
Nimeupata mkuu JAYJAYNi mzuri ameumbika ni mzuri kama malaika , mimi kwake nimefika. Bonge la chorus la Q Chief.
[emoji2959][emoji2959]T. O. T - CCM Mbele kwa Mbele (Full Version) 2015
Siukumbuki vizuri,nilibahatika kuusikiliza mara moja tu miaka ya 90s,nakumbuka beats zake zaidi,maneno siyakumbuki zaidi ya hilo jina Viki lilirudiwa sana kwenye huo wimbo