Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule ni Benjamin wa Mambo Jambo, wimbo unaitwa Hip Hop Mdundiko. Ngoja nikutafutieDah aise nipeni ngoma ya wale jama walio imba eti kaacha mume ndani kafuata mdindiko ...si unaona mtu ukipenda kitu utakurupuka ata kama ulikuwa upo unakunya ..benjamin alikuwa tu mtu wa apo kijijini alipenda mademu we utazani ye ni yasini
Bro na mimi wimbo wa segerea ulioimbwa na TBT CREW.Yule ni Benjamin wa Mambo Jambo, wimbo unaitwa Hip Hop Mdundiko. Ngoja nikutafutie
Bro na mimi nitafutie wimbo wa segerea ulioimbwa na TBT CREW.Yule ni Benjamin wa Mambo Jambo, wimbo unaitwa Hip Hop Mdundiko. Ngoja nikutafutie
Wimbo wa TBT Crew huu hapa. EnjoyBro na mimi wimbo wa segerea ulioimbwa na TBT CREW.
Pia kama utaupata wa Ally Choki na Ndanda Kossovo Bea wangu
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Wimbo huu hapa. Waimbaji ni Mambo Jambo, akiwemo BenjaminDah aise nipeni ngoma ya wale jama walio imba eti kaacha mume ndani kafuata mdindiko ...si unaona mtu ukipenda kitu utakurupuka ata kama ulikuwa upo unakunya ..benjamin alikuwa tu mtu wa apo kijijini alipenda mademu we utazani ye ni yasini
Ally Choki na Ndanda Kosovo, huu hapa. EnjoyBro na mimi nitafutie wimbo wa segerea ulioimbwa na TBT CREW.
Pia kama utaupata wa Ally Choki na Ndanda Kossovo Bea wangu
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Asante sana bro. Heshima kwako.Ally Choki na Ndanda Kosovo, huu hapa. Enjoy
Asante. Asante sana.Wimbo wa TBT Crew huu hapa. Enjoy
Pamoja sana ndgAsante. Asante sana.
Kabisa mkuuDiamond ft lavalava- one two nahisi ndo utakua unaoutafta mkuu
Msaada wakuu.Wimbo niutafutao, nashauri yake yapo kama ifuatavyo.
Ondoa mawazo yako,nimekwisha kusamehe
Sasa nakuomba Joyce usifanye tena.
Uliyoyafanya mwanzo, kweli ni mabaya.
Sasa nakukanya Joyce, usifanye tena.
sent from Samsung Galaxy A30
Ndo wenyewe ...?Kabisa mkuu
Niliuweka mwezi uliopita. Ucheki hapo juu, page kama nne hiviMzuri ameumbika mzuri kama malaika mm kwake nimefika NAUTAFUTA KINOMA