Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Wakuu naomba wimbo wa ney Lee umekwenda
Na wimbo mwingine wakiyambo hivi kaimba mwana dada baadhi mashairi
Nina matumaini siku moja utakuwa wangu
 
Nautafuta wimbo wa jamaa flan nadhan kutoka mwanza unaitwa MOYO
Ulikuwa unaimbwa kama hivi.

Mawazo ya nini moyoo iiiiih moyo,
unanikondesha bure iiih moyo
Basi vumilia moyoo iiih moyo
Utakuja niua buree iiih moyo.
 
Kuna wimbo baadhi ya mashairi yake yanasema

Ninaye best wangu,mtuliza nafsi yangu,mpeeeenzi.....
Njoo unipe Raha za Dunia..Mimi Sina pa kukimbilia........

Shukrani 🙏🙏
 
Kuna ngoma nyingne nime ikumbuka man, inaitwa *Kibisa* hahaha ngoja nikupe mistari kadhaa,

Ilikuwa saaabaa kasooorooobo, eebwana shee mbwana, alikuwa akihadhini, allah uwakibar, allah uwakibar... Akimaanisha enyi ndugu zangu twendeni tuka msujudie tuka mwabudie........ Hahah

Kiitikio, gonjwa hili limezua kizaa zaaa mzoo gumzoo kwa mabronzoo.... Basi ngoja niishie hapo [emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu usikilize huu kwanza. Enjoy
 

Attachments

Back
Top Bottom