Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
"mpanzi" mabibo kwayaHuu ni uzi maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.
Huu ni uzi maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.
Hebu usikilize huu kwanza. EnjoyKuna ngoma nyingne nime ikumbuka man, inaitwa *Kibisa* hahaha ngoja nikupe mistari kadhaa,
Ilikuwa saaabaa kasooorooobo, eebwana shee mbwana, alikuwa akihadhini, allah uwakibar, allah uwakibar... Akimaanisha enyi ndugu zangu twendeni tuka msujudie tuka mwabudie........ Hahah
Kiitikio, gonjwa hili limezua kizaa zaaa mzoo gumzoo kwa mabronzoo.... Basi ngoja niishie hapo [emoji23][emoji23][emoji23]
Huu hapa man. EnjoyWakuu naomba mwenye wimbo wa mwaka wa tabu ulioimbwa na Ally Choki.
Huu hapa. EnjoyKing Kester Emeneya. Nyimbo inaitwa Nzinzi
Huu hapa. EnjoyMwenye huu wimbo wakuu, ''ni pendo'' wa Carola Kinasha.
Mwingine si ufaham Jina, kama sijakosea ulikuwa ukiimbwa 'Njenje oh njenje, njenje oh njenje, njenje oh njenje...kanyoa kipara ngoto njenje..''
Idimi nitafutie basi wimbo wa Ndumilakuwili by Olduvai band mkuuHuu hapa. Enjoy
Nimekuchagua wewe by Bob lubadala
SIjauona hapa kwangu. Ila nakupa huuWadau natafuta ngoma kali ya bongo flavor inaitwa nadhan "MAMA" by Masterbros ya miaka 2002 au 2003 na 2004 msaada!
Twende kazi. ENjoyKakaman Aisha eeeeh raha ya mechi nao anipatie
Bado nausaka mkuu, endelea kuvuta subira. Hapa kwa library yangu sinaoIdimi nitafutie basi wimbo wa Ndumilakuwili by Olduvai band mkuu
Twende kazi. EnjoyMi nautafta wimbo wa sarafina wa tot plus band
Twende kazi. EnjoyWadau naomba nyimbo ya vitaimana ya ferre gola,asosie fali ipupa