Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
nautafuta huu
 

Attachments

  • EE06BAF6-6BB8-41DC-9B13-97163F93B00B.MP4
    4 MB
Mi staki wimbo naulizia kuna mtangazaji alikuwa TV moja ya burdan mara nyingi alisikika akisema "Oooi oooi oioioi Kalinye Kalinye..." hivi yukoapi bwana yule. Jamaa nilikuwa simwelewi kabisa kwa kauli zake hizi japo leo nmejikuta nimemkumbuka tu
 
Mi staki wimbo naulizia kuna mtangazaji alikuwa TV moja ya burdan mara nyingi alisikika akisema "Oooi oooi oioioi Kalinye Kalinye..." hivi yukoapi bwana yule. Jamaa nilikuwa simwelewi kabisa kwa kauli zake hizi japo leo nmejikuta nimemkumbuka tu
duuh!! hii ngumu kumeza
 
Habari za mida hii Wakuu🙏

Nipo nautafuta huu wimbo ila sijajua ni chanzo gani nitaupatia wala Msanii Mwenyewe alieimba simjui ila nimekariri baadhi ya Maneno ya kwenye huo wimbo, anasema hivi.

"Nimemfukuza Wangu Moyo eti kwa sababu ya binti, Moyo wangu unauma mama nafsi yangu inajuuta Usiku huu binti amekuja na barua mkononi kutoka kwa Wazazi"

Ntashukuru sana kama kuna Mwana Jf ameshaujua ni Nyimbo gani au ni Msanii gani?
 
Habari za mida hii Wakuu[emoji120]

Nipo nautafuta huu wimbo ila sijajua ni chanzo gani nitaupatia wala Msanii Mwenyewe alieimba simjui ila nimekariri baadhi ya Maneno ya kwenye huo wimbo, anasema hivi.

"Nimemfukuza Wangu Moyo eti kwa sababu ya binti, Moyo wangu unauma mama nafsi yangu inajuuta Usiku huu binti amekuja na barua mkononi kutoka kwa Wazazi"

Ntashukuru sana kama kuna Mwana Jf ameshaujua ni Nyimbo gani au ni Msanii gani?
Norichiko_Nimemfukuza
 
Mkuu una wimbo wa Chindo man, Nick wa 2, na wasanii kibao wa arusha sikumbuki jina lake ila uwa naihisi unaitwa watu wangu au milele nitakuwa na watu wangu.
 
Wakuu mwenye wimbo k man ft squeezer yatima hadekezwi autupie apa nimeutafuta miaka mingi Sanaa..wakuu naomba mwenye huu wimbo autupie hapa..
Asante kwa kuomba huu wimbo na mimi nimeupata. Nina memory sana na huu wimbo dah, muda unaenda kasi sana aisee zaidi ya miaka 15
 
Natafuta wimbo mwingine aliyeimba simkumbuki na wa zamani nahisi alimshirikisha squeezer au mandojo na domokaya kuna mistari hii
Najutia, najutia, najutia nafsi yangu najutia
sijui nini wazazi wangu watajivunia, najutia

ndani ya shimo mimi najutia,
ndani ya shimonimetumbukia,
sioni njia wala pa kukimbulia
najutia
 
Wadau mnaotumia PC mmewezaje kutuma nyimbo ni mwezi sana nina nyimbo watu wanaomba nikitaka kutuma napata hii erro"oops we ran into some problems" nawezaje kuiondoa...? ili nitume nyimbo kama hapo awali
 
Back
Top Bottom