Humu nashindwa kuipandishaK-Basil - kanizimia.(2005)
Matendo yake yanipa maswali kanizimia au ni jinsi mapozi yake yalivyo?
Geez mabovu ft daz baba - ChausikuView attachment 1695194
Humu nashindwa kuipandisha
Naomba nitumie kwa whatsap 0762129759 na mungu atakubarikiHumu nashindwa kuipandisha
K-Basil - kanizimia.(2005)
Matendo yake yanipa maswali kanizimia au ni jinsi mapozi yake yalivyo?
Nnayo hii ngoma kwa external ila nimeasafiri nitauweka nikirudi, ni yake K Basil ft Man Edo - Kanizimia.
Nori tiko -bintNey_mitego
Zero K_kurja
Alaf kuna moja sijui kaimba nan na inaitwaje,ila kuna baadhi ya mistari ya hui huo wimbo inasema hv,,
Nimempoteza wangu mpenz et kwa sababu ya bintii,,
Moyo wng unauma sana,binti huyu amekuja na barua mkononi toka kwa wazaziX2