Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Wadau msada kwenye tuta kuna nyimbo mbili tu nazitafuta za caz t mwana wa komba
1)CAZ T - NAKUPENDA
2)CAZ T - MAMA MKWE moja niliwahai kuisikia redioni zamani sikumbuki ni redio gani inaimbwa kama hivi
"WEWE DADAA MIMI NAKUPENDAA KUKUELEZAA UKWELI NAOGOPAAA IGWENDA IWEE (NAKUPENDA OTAME X2)Halafu mbele anaimba NAPENDA SURA YAKO NAPENDA MACHO YAKO NAPENDA UMBO LAKO UKWRLI NAKUPENDA
 
mwenye wimbo wa
Duniani
muimbaji ni Dekula kahanga Vumbi
nautafuta mnoo
 
Natafuta nyimbo za mwanamama Rehema Tajiri zile za zamani ( Penzi la uongo) (Ni wako tu) nimezisaka kila mahali hazipo.
 
Natafuta nyimbo mbili alizoimba somida.
Wakwanza unaimbwa mwalimu alinambia nikazane shule,maisha magumu hapo baadae.
Na wapili unaimbwa..so mida,na nyumbani nitarudi tena sio mida..afu anapiga so mida lalalalala
 
Kuna kanyimbo Fulani hivi kanaimbwa hivi japokuwa siyo kiswahili sijui ni kifaransa au kikongo"kiberenge kinaokoaa kiberenge kinaokoaa"hata we unaesoma hi comment ukijarbu kuimba utajua namaanisha wimbo gani staili ya hii nyimbo inaendana na ya wale magic system wacameroon jamani anayeijua hii nyimbo anisaidie tafadhali
 
Ney_mitego
Zero K_kurja
Alaf kuna moja sijui kaimba nan na inaitwaje,ila kuna baadhi ya mistari ya hui huo wimbo inasema hv,,
Nimempoteza wangu mpenz et kwa sababu ya bintii,,
Moyo wng unauma sana,binti huyu amekuja na barua mkononi toka kwa wazaziX2
Nori tiko -bint
 
Wakuu Kuna Ngoma Walishirikiana Ali choki, Banza stone Na Muumini Mwinjuma ni Rhumba flani nzur sana Mwenye Nayo Aitipie hapa
 
Pia Kuna nyingine wa washkaji walimshirikisha Dully Sykes inaitwa Irene

"Irene siamini mpenzi , umeondoka duniani
Nakuombea nenda kalazwe pema peponi
Me ntazidu kukuombea ooh ooh ireneeeee"
 
Back
Top Bottom