Salute sana mwamba wewe ni noma mnoGeez mabovu ft daz baba - ChausikuView attachment 1695194
Hata mie naitafuta sana walikuwa wanajiita mafahari watatu ndani ya zizi mojo.Wakuu Kuna Ngoma Walishirikiana Ali choki, Banza stone Na Muumini Mwinjuma ni Rhumba flani nzur sana Mwenye Nayo Aitipie hapa
Page ya ngapi?Upo hunu ucheck vizuri tu utaupata
Jamaa anaitwa ;Jina siujui unaimba " Haijalishi we ni nani, haijalishi wewe tajiri au maskini ukipata ukimwi ni kifo". Mwenye kuujua huo wimbo tafadhali aniambie.
Josline wimbo unaitwa ukimwiJina siujui unaimba " Haijalishi we ni nani, haijalishi wewe tajiri au maskini ukipata ukimwi ni kifo". Mwenye kuujua huo wimbo tafadhali aniambie.
No ni "haijalishi au mshikaji mmoja"Josline wimbo unaitwa ukimwi
Soggy Dogg ft Suma lee nilikaona mwaka janaKuna ngoma inaitwa NILISOMA NAYE ya Soggy Doggy...aisee naitafuta sana, kila site siipati.
Jaribu hiyoKuna ngoma inaitwa NILISOMA NAYE ya Soggy Doggy...aisee naitafuta sana, kila site siipati.
Tumia SHAZAM mkuu. Download toka playstore na ukiusikia ukipigwa fungua shazam itaunyaka na kukupa jina lake. Ila nahisi huo wimbo utakuwa "La La La wa Naught Boy ft Sam Smith". Unapigwagwa sana night clubs hasa strippers club.kuna nyimbo naitafuta ila sijainyaka manen yake ila kuna sehem anaimba hey hey nananana hey hey nanana ahhhh ahhhh
Haya sasa kazi kwako