Wakuu msaada wimbo flani hivi wa Bongo Flavour, jina la wimbo na msanii nimesahau lakini chorus inaimbwa hivi ''Mpenzi umenikimbia wakati naumwa usiku wa manane, Ulidhani mi ntakufa ili milele tusionane, sasa yamekukuta unaomba turudiane, sina muda mchafu mimi bora niwe mjane''
Alafu pia nautafuta ''My Lady'' umeimbwa na Suma Ryda, video yako jamaa yuko na mwanamke juu ya bus wanacheza. Chorus yake inaimbwa hivi ''Yo ma lady njoo kwangu mi, njoo ucheze na mi ohhh yo ma lady njoo kwangu mi, njoo ucheze na mi
 
uma Ryder my lady upon waptrick
 
Huo
 

Attachments

Attachments

Natafuta nyimbo ndani yumo Ngwair. Wanaimba kuhusu weekend.

......Kama wekend ndio tayari ishafika, watu viwanjani wanamiminika......
 
Viongozi! Nisaidie jina la wimbo unaoimbwa hivi.

“Angela Angelina aah! Angela Angelina aah! Ninakuja tafuta so leo eeh! Kisha kwinta kwenta mwambao eeh! Angela Angelina aah! Angela Angelina aah! 🎶 Tu tu tu tu tuuu! Kenda kunda kinka kinkeko eeh!”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…