Spartacus boy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,727
- 3,464
Wakuu nime ingia youtube nimeipata nimebahatisha baada ya kusearch sina hali
Wanaitwa Mask girls_sina hali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu nime ingia youtube nimeipata nimebahatisha baada ya kusearch sina hali
Wanaitwa Mask girls_sina hali.
YouTube ipo jamaa languMaggie- Koffi Olomide
kaka kama huo wimbo umeupata nitupie na mim maana nautafuta kweliK-Basil - kanizimia.(2005)
Matendo yake yanipa maswali kanizimia au ni jinsi mapozi yake yalivyo?
Bado sijaupata Mkuu.kaka kama huo wimbo umeupata nitupie na mim maana nautafuta kweli
Natafuta wimbo wa Lumidee ambao upo kwenye miondoko ya reggaeton unaitwa ooh ooh (never leave you) reggaeton remix by dj kazzanova
Nashangaa na maneno yako, umekua kigeugeu, oooh neemaaa.Mwenye album ya Diamond sound (ekibinda nkoi) miaka ya 1997 hadi 2000 naziomba sana, hata kuniuzia niuzie tu kama unazo
Na huku upo??Waungwana vipi? Natafta ule wa daz nundaz kiama.
Mimi hapo sins mmoja tu uvc kaka yupo town zingine ninazo jinsi ya kuziweka humu ndo shidanaomba hizi nyimbo
Uvc kaka - yuko towan
wandago family - Nataka
K basil - Kanizimia
Top T - Nimekufananisha
Aisee huu wimbo naukumbuka sana, sema ndo hivyo tena sikumbuki jina la wimbo wala msanii aloimba.Nisaidie jina la huu wimbo! Mahadhi yanaakisi mataifa ya Zimbabwe, Afrika Kusini na Lesotho if not mistaken.
Angelique Kidjo[emoji91][emoji91][emoji91]Aisee huu wimbo naukumbuka sana, sema ndo hivyo tena sikumbuki jina la wimbo wala msanii aloimba.
Enzi hizo unapigwa huo wimbo, anafuata Angeliq Kijo then Serif Keita, basi burdan tooosha