Kuna wimbo Wa taarabu,jina siujui na wala mwimbaji,ila umeimbwa kwa majibizano kati ya mwanamke na mwanamme ,mwanamme analalamika kuachwa na mwanamke,

Baadhi ya mistari take ni,>>>>jeraha moyoni huu mtihani umenirudia,rudi wangu mpenzi>>>

Kwa mwenye kuujua anitumie
 
Nautafuta wimbo fulani wa kikongo .
Baadhi ya maneno yake ni ..."mama baba jana kalela nkaa....mama jana baba kaleta mkaka kaleta mkaaaa oyoyooo
 
KENZY hebu tazama hapa kama utapata any ideas...!
 
Nisaidie jina la huu wimbo! Mahadhi yanaakisi mataifa ya Zimbabwe, Afrika Kusini na Lesotho if not mistaken.
 
Wanaitwa Wanyamwezi Family... kama ungekuwepo mpaka sasa ningeshaupata maana nahisi nautafuta sana kuliko wewe
 
Mwenye album ya Diamond sound (ekibinda nkoi) miaka ya 1997 hadi 2000 naziomba sana, hata kuniuzia niuzie tu kama unazo
 
Natafuta wimbo wa Lumidee ambao upo kwenye miondoko ya reggaeton unaitwa ooh ooh (never leave you) reggaeton remix by dj kazzanova
 
Mwenye ngoma ya wamakua inaitwa 'Achemkwanda', naiomba.

Nyingine ni ya kiarabu, kiitikio kina maneno haya "habibi habibi habibi".
 
Nautafuta wimbo fulani kaimba mwanamke. Mahadhi ya wimbo ni kiumwambao,mara kihindi na kiarabu. baadhi ya maneno yake ni:

"hiiii iii iii anaisumbua akili yangu.... Mikono yake akinigusa sina haaali"

"mikono yake akinigusa,mikono yake akinigusa, mikono yake siiina haliiiii"
 
Wakuu nime ingia youtube nimeipata nimebahatisha baada ya kusearch sina hali
Wanaitwa Mask girls_sina hali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…