digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Utaipata kweli..🤣🤣 jina tu..🤣🤣😅Djadja wa aya namakura
Jaribu kukumbuka visit vizuri nikusaidie kutafuta.Shukrani dears, ila naamini siyo huo maana huyo mshkaji haja rap kafanya kuimba tu, na nyimbo ni ya this year kama sikosei..!!
Ndugu hauna ule aliotoa Komba baada ya mazishi ya mwalimu? Una maneno kama Haya ..Ugonjwa huu sitapona, nawaombea watanzania..., ni maneno yake nyerere.!!
Maggie- Koffi OlomideNautafuta wimbo fulani wa kikongo .
Baadhi ya maneno yake ni ..."mama baba jana kalela nkaa....mama jana baba kaleta mkaka kaleta mkaaaa oyoyooo
Nauenjoy hapa mkuu. Bless sanaMaggie- Koffi Olomide
KENZY hebu tazama hapa kama utapata any ideas...!Kuna nyimbo moja ya Ray C kaimba na mkaka simjui jina hata, siyo nyimbo ya siku nyingi sana, idea ipo kama huyo bro anamuelewa Ray C ila Ray C anamchukulia poa, kuna mahala anamuambia 'wewe ni mkangafu', na kitu kama 'pesa anayoiona kwake kubwa, kwa bidada hiyo pesa ina thamani ya cheni ya kiuno' - I don't remember the lyrics well I admit..!
Niliwahi iskia radioni, jamani nimetafuta this song mpaka nimeinua mikono, maana siijui hata jina, any idea please..!
jaribu sijui ndiyo huoUtaipata kweli..[emoji1787][emoji1787] jina tu..[emoji1787][emoji1787][emoji28]
Nisaidie jina la huu wimbo! Mahadhi yanaakisi mataifa ya Zimbabwe, Afrika Kusini na Lesotho if not mistaken.Viongozi! Nisaidie jina la wimbo unaoimbwa hivi.
“Angela Angelina aah! Angela Angelina aah! Ninakuja tafuta so leo eeh! Kisha kwinta kwenta mwambao eeh! Angela Angelina aah! Angela Angelina aah! 🎶 Tu tu tu tu tuuu! Kenda kunda kinka kinkeko eeh!”
Wanaitwa Wanyamwezi Family... kama ungekuwepo mpaka sasa ningeshaupata maana nahisi nautafuta sana kuliko weweWakuu msaada wimbo flani hivi wa Bongo Flavour, jina la wimbo na msanii nimesahau lakini chorus inaimbwa hivi ''Mpenzi umenikimbia wakati naumwa usiku wa manane, Ulidhani mi ntakufa ili milele tusionane, sasa yamekukuta unaomba turudiane, sina muda mchafu mimi bora niwe mjane''
Alafu pia nautafuta ''My Lady'' umeimbwa na Suma Ryda, video yako jamaa yuko na mwanamke juu ya bus wanacheza. Chorus yake inaimbwa hivi ''Yo ma lady njoo kwangu mi, njoo ucheze na mi ohhh yo ma lady njoo kwangu mi, njoo ucheze na mi
Dah! acha tu mkuu bonge la ngoma lileWanaitwa Wanyamwezi Family... kama ungekuwepo mpaka sasa ningeshaupata maana nahisi nautafuta sana kuliko wewe
Wakuu nime ingia youtube nimeipata nimebahatisha baada ya kusearch sina haliNautafuta wimbo fulani kaimba mwanamke. Mahadhi ya wimbo ni kiumwambao,mara kihindi na kiarabu. baadhi ya maneno yake ni:
"hiiii iii iii anaisumbua akili yangu.... Mikono yake akinigusa sina haaali"
"mikono yake akinigusa,mikono yake akinigusa, mikono yake siiina haliiiii"
Wakuu nime ingia youtube nimeipata nimebahatisha baada ya kusearch sina hali
Wanaitwa Mask girls_sina hali.