Ushanta- X-PlatazAngelique Kidjo[emoji91][emoji91][emoji91]
Naomba ulizonazo unitumie kwa whatsapp namba 0767927529 natanguliza shukrani kaka🙏Mimi hapo sins mmoja tu uvc kaka yupo town zingine ninazo jinsi ya kuziweka humu ndo shida
Mkuu ulivyo reply tu kuna sehemu ya kuattach files, click hapo attach hizo mkuu mimi pia nazitafuta. Ikishindikana share kwa whatsapp 0764355910. Shukrani sanaMimi hapo sins mmoja tu uvc kaka yupo town zingine ninazo jinsi ya kuziweka humu ndo shida
Wakuu mwenye wimbo wa TID - KWA KWELI, please share. Chorus inaimbwa ''kwa kweli nakupenda mpenzi, kwa kweli mwenzio sijiwezi, hivi kweli wewe bado hunielewi nieleze upesi''
Sio huu mkuu, au wewe unahitaji huu? Wenyewe unaitwa KWELI Tid kaimba peke yake, upo kwenye album yake ya kwanza inaitwa Sauti ya Dhahabu. Please share kama unaoTID FT NAZIZ WATASEMA
Nenda k/ koo mkuu utazipata au ingia utube zipo kibaoWakuu..
Nahitaji any member mwenye library yenye bongo movies zile za zamani kama vile
1.SHUMILETA
2.MZIMU WA PESA
3.MSYUKA
4.CHITE UKAE
5.BWAWA LA SHETANI
6.NGOME YA MWANAMALUNDI
7.SALADINI and the like aniPM aisee...
Nna zitafuta sanaa
Anaitwa kabagoKuna wimbo huwa unatumika kwenye kipindi cha mchana cha cha radio moja ya kimataifa,kati ya bbc au Deutsch welle...wimbo unaimbwa "aaaeee Africaaa eeeh,Africaaa eee..........
Bro nimejaribu kuucheki google naona haupo kabisa...wala huyo msanii simuoni.Anaitwa kabago
Wimbo unaitwa Africa
Nimeupandisha unagoma
nlishawah kuuulizia humu huo wimbo, sikuupataHatuna ajira by afande sele ft gheto boys