Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuwa ni suka chile (sijui kama nimepatia kuandika wa defao)Wakuu naombeni msaada wenu kuna winbo nimekuwa nikiutafuta sana lakn sijawai kuuoata tatzo sijuwi jina lake ila kionjo chake kuna sehem wanaimba ..bolingo bolingo sakiee mamieeee mami saakii
Mimi naitafuta ya Ngwea na Jay Moe inaitwa ''M.A.F.I.A" yaani Machizi Ambao Fani Imelala Asilia.Ni ngoma gani ya kitambo sana umetafuta bila mafanikio...itaje hapa tunaweza kupeana.
Mimi natafuta sana ngoma ya Ngwea, Ferooz, Juma Nature, Majani inaitwa Mida Mibovu. Nimetafuta sana hata huko Youtube hakuna.
Ngoma nyingine ni Ngwea, Babu wa kitaa na wengine kibao inaitwa BATA BOYS jamaa wanachana saana sijui nitaipataje?
Vipi kuhusu wewe mdau?
#forgive Me
Ulifanikiwa kupata mkuu? Kama bado naweza kukusaidia kuzipata zile nyimbo.Natafuta wimbo flani hvi wa huzuni huwa unaimbwa TBC kwenye kumbukumbu za walioga dunia
Ulifanikiwa kupata mkuu? Kama bado naweza kukusaidia kuzipata zile nyimbo.Natafuta wimbo flani hvi wa huzuni huwa unaimbwa TBC kwenye kumbukumbu za walioga dunia
Enya - Only TimeUlifanikiwa kupata mkuu? Kama bado naweza kukusaidia kuzipata zile nyimbo.
Natafuta wimbo flani hvi wa huzuni huwa unaimbwa TBC kwenye kumbukumbu za walioga dunia
Enya - Only Time
TBC wanapiga sana ngoma zake huyo mwana mama, yupo vizuri.
Mwanao kakosea yafaa umkanye, wamsusia na kumfukuza nyumbani atakaa wapi.... atalala wapii.......jina la nyimbo silikumbuki ila ina maneno haya" NI MAKOSA NI VIBAYA MNAFANYA WAZAZI NI AIBU NI HUZUNI NI OYOYOYO" ya zamani(zilipendwa) natanguliza shukrani.
Mwanao kakosea yafaa umkanye, wamsusia na kumfukuza nyumbani atakaa wapi.... atalala wapii.......
Iwapo baba mama haumpendi mwanao, sisi wa pembeni tutampenda vipi???
Uchungu wa mwana aujuae mzazi......,[emoji445][emoji441]
Fanya mpango ndugu niupateNinao ila uko kwenye TAPE
Iko kwenye Cassette Tape kama hiyo ya kwenye picha.Fanya mpango ndugu niupate
Hapo kuna kifaa cha kukonveti kutoka huko kwenda kwa mp3 format.Iko kwenye Cassette Tape kama hiyo ya kwenye picha.
Ebu nielekeze jinsi ya kuiweka hapa
View attachment 1954794