Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Wakuu naombeni msaada wenu kuna winbo nimekuwa nikiutafuta sana lakn sijawai kuuoata tatzo sijuwi jina lake ila kionjo chake kuna sehem wanaimba ..bolingo bolingo sakiee mamieeee mami saakii
Utakuwa ni suka chile (sijui kama nimepatia kuandika wa defao)
 
Ni ngoma gani ya kitambo sana umetafuta bila mafanikio...itaje hapa tunaweza kupeana.

Mimi natafuta sana ngoma ya Ngwea, Ferooz, Juma Nature, Majani inaitwa Mida Mibovu. Nimetafuta sana hata huko Youtube hakuna.

Ngoma nyingine ni Ngwea, Babu wa kitaa na wengine kibao inaitwa BATA BOYS jamaa wanachana saana sijui nitaipataje?

Vipi kuhusu wewe mdau?

#forgive Me
Mimi naitafuta ya Ngwea na Jay Moe inaitwa ''M.A.F.I.A" yaani Machizi Ambao Fani Imelala Asilia.
 
TBC wanapiga sana ngoma zake huyo mwana mama, yupo vizuri.
1632667397253.png
 
jina la nyimbo silikumbuki ila ina maneno haya" NI MAKOSA NI VIBAYA MNAFANYA WAZAZI NI AIBU NI HUZUNI NI OYOYOYO" ya zamani(zilipendwa) natanguliza shukrani.
Mwanao kakosea yafaa umkanye, wamsusia na kumfukuza nyumbani atakaa wapi.... atalala wapii.......

Iwapo baba mama haumpendi mwanao, sisi wa pembeni tutampenda vipi???
Uchungu wa mwana aujuae mzazi......,[emoji445][emoji441]
 
Mwanao kakosea yafaa umkanye, wamsusia na kumfukuza nyumbani atakaa wapi.... atalala wapii.......

Iwapo baba mama haumpendi mwanao, sisi wa pembeni tutampenda vipi???
Uchungu wa mwana aujuae mzazi......,[emoji445][emoji441]

 
Back
Top Bottom