Msaada wadau kuna wimbo kaimba Bushoke na Ismail kipindi wanashirikiana unaimbwa ivii km chorus “watu wengi walinieleza kuhusu huyu msichana anamilikiwa na mtu mwenye wadhifa mkubwa…”
 
Young killer blessings kuna vimaneno kaimba pale xjui alikopi maan nimewahi kumskia rapa mmoja nahis ngwea anaimba hyo verse, shda yang ni huo wimbo nna shda nao
Vimaneno ni hiv
"Macho zigi zigi za niga na wizi wizi
Babay uko na me yani ni ku jigi jigi"
Msaada kwa mweny kuujua huu wimbo
 
CBM crew, kaimba AY na na marehem Vivi, wimbo unaitwa yatupada
 
Ndugu wazee kuna wimbo mmoja nautafuta sana wa bendi ya zamani (nadhani Jamhuzi au Western Jazz). Siukumbuki jina lake lakini chorus yake inaimbika kama nilivyorekodi kwenye audio (attached). Naomba aliye nao au anayefahamu tittle ya huo wimbo anisaidie jamani. Natanguliza shukrani.
 

Attachments

Msaada anayeweza kunipa wimbo wa Dally Kimoko nyimbo inaitwa Bolingo mosika.
 
Huu ni uzi maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.


Nataka nyimbo za “wawi “
Hawa jamaa walikuaga wapo wawili mfano wa mashair ya nyimbo yao iko iv

Wawil wasap nyie mbona mnasura mbaya alah! Ndosababau mnapendwa na madem labda
 
Kuna nyimbo kaimba mdada

'' umaskini si kilema ni matatizo ya dunia.''

Nahisi atakuwa ni tshala mwana.
Msaada wandugu
 
Hii yuko na bright
 
Samahan sana kwa usumbufu, kwa muda nimekuwa nikiutafuta wimbo wa msanii Nay wa Mitego ambao mwishoni huishia na maneno haya " ukiona imekuuma andamana, simwogopi mtu pumbavu mpaka mnyooke"
Kwa mwenye uelewa wa wimbo huu tafadhali anisaidie unaitwaje
 
Hii nyimbo anaeipata asee nmetafuta had nmetafuta tena
Your browser is not able to display this video.
 
Wakuu,kuna wimbo fulani wa kizamani aliimba mama/dada fulani, ni wimbo filani hivi wa taratibu na wa kubembeleza, kwenye korasi anasikika kama anasema/anaimba

/Ooh nganda yaoo.../
/.....................................
Oya nganda yaoo../
...................................
.....ngandayo aaeeeeh.

Halafu kanafata ka-guitar fulani hivi katamuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…