KWANGU MATEMBEZI
Member
- Jun 19, 2012
- 41
- 47
Asante, ndio wenyeweKm Kiitikio chake kina maneno haya ninakupa moyo wangu uuweke mpenz, usije tupa jalalani usipuuze penz langu usijeliwa na mafunza ukapotea milele huzuni nikiuona moyo wako u jalalani. Basi utakuwa ni wimbo unaitwa moyo kaimba jaydee na papii kocha