Kama unapenda za kikatoliki tuu pakua hii Nyimbo za kikatoliki - Apps on Google PlayNi App gani mzuri ya kupakua nyimbo za youtube
Wanajamii kama Heading inavyosema nisaidieni Mwenzenu Nahitaji nyimbo za kwaya/Dini ya Roman Catholic kama unazo nisaidie ku upload hapa nami nitasave!
Mbarikiwe katika Jina La Bwana!
MKATOLIKI
Dooh, sema kuna kwaya nyingi sana za masista, ila ukienda YouTube ukaandika "kwaya ya masista" zitakuja nyimbo nyingi sanaHalafu kuna wimbo mwingine wa kwaya ya masista watupu, wanaimba huku wakiwa wanapiga tarumbeta, wamevaa mavazi yao ya u-Sister halafu wamependeza utadhani ni Malaika wameshuka kutoka mbinguni. Nilikuwa nao niliurekodi kutoka kwenye Tv lakini bahati mbaya baadaye nikaupoteza, na title yake siikumbuki na hivyo siwezi hata kuutafuta kwenye youtube
I see nashukuru sana umenisaidia. Tayari nimeshaupta ni masista wa Kipalapala Tabora. Huu hapaDooh, sema kuna kwaya nyingi sana za masista, ila ukienda YouTube ukaandika "kwaya ya masista" zitakuja nyimbo nyingi sana
Vipi huu hapa?Mimina ni wimbo bora wa mwaka huu....[emoji1544][emoji1544][emoji1544][emoji1544][emoji1544]
Naupenda sana huu wimbo, kweli kristo atawaleVipi huu hapa?
AminaNaupenda sana huu wimbo, kweli kristo atawale
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji110]Kuna jamaa anaimba kluuuuuuuu pumpumpumpuu sikia kenkenkenke
Mkuu ukiupata huo wimbo nisogezee nami tafadhaloHabari wa kuu, kunawimbo wa machozi band kwa jina siujui , nimejaribu kuutafuta kwa lyrics zake bila mafanikio , kwa anayeujua naomba anisaidie . Baadhi ya maneno ya wimbo huo ni haya "moyo ni nyama tupu , ukioza wapotea haibaki mifupa , nakukabidhi uutunze" inawezekana lyrics sijapangilia vizuri , natanguliza shukrani
Mkuu hukuupata maana ndo nausikiliza hapa. Ngona yangu haikosi kwenye list toka 2013Heshima kwenu Wakuu
Nikipata solo thank - miss Tanzania itakua poa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani nashindwa kuweka huu wimbo hpa.Habari wa kuu, kunawimbo wa machozi band kwa jina siujui , nimejaribu kuutafuta kwa lyrics zake bila mafanikio , kwa anayeujua naomba anisaidie . Baadhi ya maneno ya wimbo huo ni haya "moyo ni nyama tupu , ukioza wapotea haibaki mifupa , nakukabidhi uutunze" inawezekana lyrics sijapangilia vizuri , natanguliza shukrani
Mpongo Love-NdayaWakuu,kuna wimbo fulani wa kizamani aliimba mama/dada fulani, ni wimbo filani hivi wa taratibu na wa kubembeleza, kwenye korasi anasikika kama anasema/anaimba
/Ooh nganda yaoo.../
/.....................................
Oya nganda yaoo../
...................................
.....ngandayo aaeeeeh.
Halafu kanafata ka-guitar fulani hivi katamuuu
Lady IssaKuna nyimbo kaimba mdada
'' umaskini si kilema ni matatizo ya dunia.''
Nahisi atakuwa ni tshala mwana.
Msaada wandugu
Jina la wimboLady Issa