Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Kuna nyimbo naitafuta sana ya Bongo flavour ya kitambo. Hio nyimbo kaimba mdada mwanaume sijui ni steve rnb na kamshirikisha mdada.

Una kiitikio hivi '' mbona wanifananisha naee nami siko kama yeye''
' ' usinihukumu, umeni hukumu' '.....
Msaada wanandugu @

Stive wa rnb ft maunda zoro
Usinihukumu. Itafute ipo mtandaoni
 
Kuna nyimbo naitafuta sana ya Bongo flavour ya kitambo. Hio nyimbo kaimba mdada mwanaume sijui ni steve rnb na kamshirikisha mdada.

Una kiitikio hivi '' mbona wanifananisha naee nami siko kama yeye''
' ' usinihukumu, umeni hukumu' '.....
Msaada wanandugu @

 
Kuna taarabu inaimba"na hili pia kaseme acha kujishaua×2,,Lile lilompata kideku maungoni likakufikiaaaa,umepanda umeshuka kwangu hukuona ndaniii"kama sikosei ni TOT taarabu Y2k,,,nahitaji album nzima.
Pia dar modern taarabu-vijimambo naomba album nzima.
 
Kuna ngoma naitafuta kameimba ka naigeria flabi hivi (dem) upo kama hivi

I never wanna see you again

kiitikio "Alele.. Alele"

Sijui "Oya tik tiki" Af "Alele... " [emoji23][emoji23][emoji23]

Napata tabu sana kuuelezea aisee.. Tashkuru sana wakuu nikiupata...
 
Kuna nyimbo naitafuta sana ya Bongo flavour ya kitambo. Hio nyimbo kaimba mdada mwanaume sijui ni steve rnb na kamshirikisha mdada.

Una kiitikio hivi '' mbona wanifananisha naee nami siko kama yeye''
' ' usinihukumu, umeni hukumu' '.....
Msaada wanandugu @
Usinihukuku ft Steve Rnb
 
Kuna nyimbo nmekuwa naitafuta inakiitikio cha. "Nimekuwa nikingoja kwa muda mrefu hebu nishike hebu nishike mimi ni wako baby..... Nikumbatie nikumbatie mimi niwako baby...... Naomba usogee karibu yangu mi unipe hizo raha za kutosha.."

Nikiupata jina itapendeza
 
Kuna nyimbo naitafuta sana ya Bongo flavour ya kitambo. Hio nyimbo kaimba mdada mwanaume sijui ni steve rnb na kamshirikisha mdada.

Una kiitikio hivi '' mbona wanifananisha naee nami siko kama yeye''
' ' usinihukumu, umeni hukumu' '.....
Msaada wanandugu @
Kaimba steve na marehemu maunda zoro
 
Narud tena kwenu wanabodi natafuta wimbo unaitwa tuelewane mke wangu na maali mwalim gurumo kutoka juwata jazz
 
wanakijiji mlie mlie, wanakijiji mlie mume wangu ni tajiri.

Wimbo wa miaka mingi iliyopita ni kwaya
 
Kuna wimbo waliimba KINONDONI REVIVAL CHOIR,kiitikio wanaimba "talila talila ta, u talilata" halafu wanaendelea "nimesikia Simba akiunguruma"
Sijui jina la wimbo.Aliyenao naomba auweke humu please,
 
Nimejaribu kuutafuta wimbo wa Mike Tee
akimshirikisha Ferouz uitwao Wananiita Mnyalu lakini sijaupata,naomba mwenye wimbo huo autupie humu jukwaani.Niliomba mara ya kwanza watu wakauweka Sintobadilika ambao kamshirirkisha Q-Chief
 
Jamani Mimi natafuta wimbo Sina uhakika na mwimbaji sijui ni Belesa Kakele (zilipendwa) unasema watoto wamekuja juu wanadai Mali yao......wameshasahau wosia wa baba yao....
Lakini mwenye Mwanameka ya Marijani atupie
 
Nimejaribu kuutafuta wimbo wa Mike akimshirikisha Ferouz uitwao Wananiita Mnyalu lakini sijaupata,naomba mwenye wimbo huo autupie humu jukwaani.Niliomba mara ya kwanza watu wakauweka Sintobadilika ambao kamshirirkisha Q-Chief
Upo. Nadhani kwenye hii thread upo.
 
Back
Top Bottom