Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 7,090
- 13,511
Nahitaji wimbo original,, nandy alichomoa maneno kule. Ile OG ndio nnayoihitajiUo unaitwa mchumba wa nandy
Indege ya inafrika bend auKuna wimbo unaimbwa LIDEGE LINAONDOKAAA original ambayo nandy amechomoa hizo verse kwenye wimbo wake wa dance.. anaeujua anijulishe hata jina la mwimbaji
Mkuu nashukuru sana aisee, 😂 😂 ni yenyewe kabisa yani nimeipata. Nimeitafuta for so many years.. inanikumbusha enzi za utoto nilisafiri na baba na mama kwenda Bunda niliisikia sehemu nikiwa safari I.. zamani saaaaaaanaaaaIndege ya inafrika bend au
Wimbo wa juzi huo 2005 uko hata youtube utafuteWimbo wa mb dog mapenzi kitu gani audio nautafuta sana
Msaada wakuu mwaka wa 12 huu nautafuta huu wimbo bila mafanikio... tulikuwa nao kipindi cha kaseti sasa tangu yaingie madvd na flash ndo basi tenaInamaana hakuna anayeujua huu?
"...Nalia woo woo, nalia sana woo woo
Nataka kuwa mi milionea, uwezo sina woo woo
Nataka gari ya kutembelea, uwezo sina woo woo
Miye fukara nadharaulika hapa duniani woo woo
Sina kitanda nalala chini naumwa na kunguni woo woo..."
Sauti ya mziki inaendana na ile ya hama qInamaana hakuna anayeujua huu?
"...Nalia woo woo, nalia sana woo woo
Nataka kuwa mi milionea, uwezo sina woo woo
Nataka gari ya kutembelea, uwezo sina woo woo
Miye fukara nadharaulika hapa duniani woo woo
Sina kitanda nalala chini naumwa na kunguni woo woo..."
[emoji23][emoji23] Ninayo kwenye simu iyo nyimbo mkuuMkuu nashukuru sana aisee, [emoji23] [emoji23] ni yenyewe kabisa yani nimeipata. Nimeitafuta for so many years.. inanikumbusha enzi za utoto nilisafiri na baba na mama kwenda Bunda niliisikia sehemu nikiwa safari I.. zamani saaaaaaanaaaa
Nashukuru sana mkuu🙏🙏🙏[emoji23][emoji23] Ninayo kwenye simu iyo nyimbo mkuu
Hapana sijaupata..nauomba Kama unao.Vipi best ulifanikiwa kuupata?
Kama bado nijulishe nikutumie
Naomba wimbo huu "Eee Bwana wewe wanigusa, kila hatua nipigayo Bwana kama milima izungukavyo yerusalemu . Wanaitwa trinity band wapo kigamboni
Umeimbwa na bendi moja hiv ila google unapataKuna wimbo unaimbwa LIDEGE LINAONDOKAAA original ambayo nandy amechomoa hizo verse kwenye wimbo wake wa dance.. anaeujua anijulishe hata jina la mwimbaji
Ndo hii hii indege iliobobaa ya inafrka band uko sahihiIndege ya inafrika bend au
IpiAsee kuna ngoma naitafuta sana sijaipataga