fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
sifahamu hata ni nani ila wanaongea lafudhi ya kichaga kuhusu pombe na matukio walokua wanayafanya mkuu itakua ndo huyo ngja nijarbu kusearch youtubeSio Fred Saganda kweli,ila jina la wimbo sikumbuki
Uko sahihi ni Fred Saganda, Na sasa anaingiza sauti Zile kauni za watoto AKILI AKILISio Fred Saganda kweli,ila jina la wimbo sikumbuki
Karibu.Shukrani sana mkuu.
Anaitwa Chelea Man.....Naomba hii...nipende hivi nilivyo mi msela...Tundaman kama sikosei
OK,basi jamaa amtafute tu YouTube atapata huo wimboUko sahihi ni Fred Saganda, Na sasa anaingiza sauti Zile kauni za watoto AKILI AKILI
Tayari nimeuweka YouTube wimbo woteNatafuta wimbo ulioimbwa na Mbaraka Mwinshehe wa Super Volcano unaoitwa "Tabia Njema ni Silaha" Kuna clone iliyoimbwa na binti yakr haina ladha nzuri, halafu kuna mtu alipost kipande kifupi pale Youtube ambacho hakitioshi. Nautafuta wimbo wote
eeh mzee wangu; kazi nzuri sana umeifanya.Tayari nimeuweka YouTube wimbo wote
Tupo pamoja bosseeh mzee wangu; kazi nzuri sana umeifanya.
Asante sana mzee wangu; umeniondolea kiu ya siku nyingi sana. Halafu huu unasikika safi kabisa kama vile ulivyotoka mara ya kwanza wakati huo miaka ya hiyo ya sabini, nadhani ilikuwa 1977 au 1978 hivi.Tupo pamoja boss
Mimi natafuta wimbo wa Emmanuel Nkulila ambao jina lake silijui ila ulikuwa unapigwa sana na Radio one stereo miaka ya 1999. Atakayenipatia huu wimbo nitashukuru sana. Nime search sana nyimbo za huyu jamaa utube lakini huu wimbo sijaupata.
Naomba hii...nipende hivi nilivyo mi msela...Tundaman kama sikosei
Andika Rafael au Fred zagamba .wimbo ninao ila nashindwa kuploadsifahamu hata ni nani ila wanaongea lafudhi ya kichaga kuhusu pombe na matukio walokua wanayafanya mkuu itakua ndo huyo ngja nijarbu kusearch youtube
Kuna wimbo wa injili wa wale mabinti wanaitwa J Sisters unaitwa "achilia roho wako" nautafuta bila mafanikio, maana hata kwenye YouTube yao haupo.
Andika Rafael au Fred zagamba .wimbo ninao ila nashindwa kupload
Sawa mkuu unaitwaje huo wimbo ngja niende youtubeAndika Rafael au Fred zagamba .wimbo ninao ila nashindwa kupload
Nimeupata mkuu asante sana🙏😁😁😁 wimbo naupenda huu knomaAndika Rafael au Fred zagamba .wimbo ninao ila nashindwa kupload