"maisha ya mjini wanasema ni ujanja, ukishuka kwenye meli wanakuita mshamba, ukishuka kwenye treni wanakuita wakuja, ukishuka kwenye basi wanakuita mshamba na ukishuka kwenye ndege wanakuita kibopaaa " hicho ni kiitikio Cha wimbo mmoja ulitoka miaka ya 2001, 2002, 2003 jamaa alienda mjini kutafuta kazi akawa anashangazwa na tabia za mjini wakawa wanamuona mshamba..anaimba kwa huruma.. mwenye ku ufahamu huu wimbo anisaidie tafadhalini wadau nimeumiss sana, wadau mwenye kufahamu huu wimbo anisaidie tafadhalini ndugu zangu.