Natafuta wimbo wa Mjini shule ulioimbwz na bendi Extra Bongo iliyokuwa chini ya Ally ChokiHuu ni uzi maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.
Wimbo wa marehemu omary kopa huu. Nimesahau jina lakeKuna taarabu Fulani hivi inasema penzi letu si la kuchachua chachua ......... Tugombane asubuhi jioni tunaongeaaa
Nitafatilia Asante Mr JJJWimbo wa marehemu omary kopa huu. Nimesahau jina lake
Inaitwa sitaki ushambenga, itafute utaipata.Nitafatilia Asante Mr JJJ
Wimbo wa marehemu omary kopa huu. Nimesahau jina lake
Asante sana Garfield ndiyo wenyewe aisee!!! Duh!! Nimekumbuka mbali Sana Hadi machozi yananitoka nikitambo Sana nimekumbuka Mambo mengi Sana kupitia wimbo huu!!! Aisee Asante sana mdau!! 🙏Jaribu ku search huu kupitia YouTube uone kama ndio unaoutafuta.
Pain in Me - Emanuel Nkulila
Kuna wimbo mwingine aliimba msanii wa Mwanza kashirikiana na juma nature wanainba" popote uendako maisha magumu, wengine wanalala mitaloni, wengine wakula majalalani" kama unaufahamu naomba msaada aisee nimeukumbuka pia..
Wenyewe kabisa aisee 🙏
Kuna wimbo mwingine aliimba msanii wa Mwanza kashirikiana na juma nature wanainba" popote uendako maisha magumu, wengine wanalala mitaloni, wengine wakula majalalani" kama unaufahamu naomba msaada aisee nimeukumbuka pia.
Yan naitafuta Sana broo, pia Kuna ule wimbo jamaa animba kwa huruma kaenda kutafuta kazi mjini..baadhi ya mistari yake anamba hivi " maisha ya mjini wanasema ujanja, ukishuka kwenye ndege wanakuita kibopa, ukishuka kwenye treni wanakuita wakuja" ni wimbo wakitambo Sana nadhani miaka ya 2001Ile record nkiipata natoa 5000!
Hii hapa. Be blessed.Around the conner
Hi nyimbo ya gosper y zaman
Mkuu kama umeupata mmoja kati ya huo bhas naomba tafadhaliJI- Kisa wamenicheki kwenye TV
JI_BINTI MALKIA
Hii hapa. Be blessed.View attachment 2570494
Kuna wimbo unasema NATAKA NIKUJUE SANA ILI NIWE NAYO AMANI NDIPO HAYO MEMA YATAKAVYO NIJIA MIMI ni Gospel YouTube kuna watumishi waliimba chorus tu nautaka wote tafadhari. Nisaidieni.