Asante mkuu[emoji1690][emoji120]Hiyo [emoji116]View attachment 2580631
PamojaaaAisee kaka nashukulu Sana ume
Umetishaaaa
Kaka naweza kupata na wimbo wa hip hop wa zamani miaka hiyo hiyo ya 2001, 2002, had 2005, "jamaa Anaitwa Jango man kama sikosei, sauti kama ya Dazi baba kiitikio ni Tulia Tulia nami Suzzy nataka uwe wangu Mimi Suzzy wamekwisha sema mpaka wamechoka penzi letu halitoweza vunjika.." baadhi ya mistari anasema " moja ya hoja, mbili shahili..mistari yake mingi imenitoka lakini wimbo unaenda kwajina la Suzzy.Pole kaka... ngoma hiyo enjoy !!View attachment 2580586
Pamoja [emoji1666]Asante mkuu[emoji1690][emoji120]
[emoji116]hizo...ZigZag Crew "Jiko lime nuna" pamoja na FDC(free dogs camp) feat Majitu "Kindumbwendumbwe"
Natafuta Kuna instruments fulani hivi zilitumika Sana kwenye masherehe na maharusi ni za south kama sikosei, alubam nzima ilikuwa ni instruments tu.. saxphone, guitar, kinanda ndiyo vimetumika kwenye hizo instruments..nawatoto walicheza Sana kama shoo za masherehe mbalimbali..zilitoka mia ya 1990 hadi 2000 mwanzon..then zikapoate kabisa...nimezimiss Sana naomba tafadhali kama ipo nipate msaada.NYIMBO ZINGINE MLIZOOMBAPapi Kocha ft Lady Jd - MoyoPapi_Kocha_ft_Lady_Jd_-_Moyo.mp3
Enya_-Only_Time-_Sweet_November.mp3
Patricial_Hilary_-_Zao.mp3
Nayba_-Uje.mp3
Mambo_Vipi%28Uncut%29_-_Mchizi_Mox.mp3
Kikosi_Cha_Mizinga_ft_Bele_9_-_Maisha_Yangu_Ujumbe_Tosha.mp3
Juma_Nature_ft_Mr_Paul_-_Kigeto_Geto.mp3
Hussen_Machozi_-_Jelaa.mp3
Bandago_-_Ayaah.mp3
Amenitendea_-_Kijitonyama.mp3
MWISHO
Ni wimbo wa Nuruelly sio Alocom, upo youtubeNatafuta wimbo wa alikom nahisi, kuna verse inasema " chonde chonde mpenzi, kxangu uko peke yako" afu sauti ya mwanamke inajibu " na husiofu uko na mie" ?
Wadau kwema? Mnisaidie Kuna instruments fulani, za south Africa zilitumika Sana kwenye maharusi zaman miaka ya 1990 Hadi 1998 Hadi 2000. Watu walizitumia Sana kwenye maharusi na watoto walikuwa wakizicheza kama shoo kwenye maharusi au sherehe.. saxophone, guitar na kinanda ndiyo vilitumika Sana kwenye hizo instruments... Albam nzima ilikuwa ni beat tu..