Wimbo wa Orch. Maquis Original ninaotafuta ni MAYASA na si MFAUME. Ulioimbwa na Kasaloo Kyanga na Kyanga Songa. Samahani kwa kosa hilo.
 
Huu wimbo nautafuta sana mkuu yaani sijui kwa nini haupo u tube. Wakiuweka naomba na mimi unitag mkuu.
na wewe pia ukiupata naomba uni tag yaani ni mda sana nautafuta huu wimbo
 
jamani naombeni mwenye wimbo wa parapanda arts unaitwa tufungulieni najua jamii forum hakuna kinacho shindikana please nawaomba mnisaidie
 
Mm natafuta wimbo wa kizulu ngoja niweke kipande alichoimba aneth kushaba
 
Kuna jamaa walikuwa wanajiita LG mob walikuwa na wimbo unaitwa Mgambo. Humo ndan yumo jamaa anajiita Black Skull ambaye alitoa wimbo km solo uliitwa Balaa,...mwenye hizo ngoma anisaidie
 
Mwenye nyimbo za watengwa jamani..zile za kitamboo..
 
Nadhani unaongelea hii mkuu inaitwa How i roll kaimba Juel Santana na Akon kama sikosei.
dah, mkuuuu we noma sanaaaaa nimeupata kaka, hapa nimeachia kitu full volume, hahaha[emoji23] [emoji16] [emoji23] [emoji16] [emoji23] [emoji16] [emoji23] [emoji16] [emoji23] [emoji16] [emoji23] [emoji16] [emoji23] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Ha ha ha ha ha ha ha, Pamoja sana mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…