Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Tumia hii link ya online huitaji kuwa na third party appNgoja nifanye hivyo
Ni ku paste tu link ya video husika kisha unai download kama audio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumia hii link ya online huitaji kuwa na third party appNgoja nifanye hivyo
👊👊👊 UmetishaTumia hii link ya online huitaji kuwa na third party app
Ni ku paste tu link ya video husika kisha unai download kama audio
Idimi naomba wimbo wa Ajali ya Aminani ya Ndekule kama unayo.Pamoja sana bro
Naitafuta wimbo:Ole bado wasumbuka,umeimbwa na juwata jazz
Mwenye huu wimbo wa hawa jamaa walikuwa wanapiga sana redio free miaka ya 2000'sNatafuta wimbo wa maalim ft bayo mafelo alienao
Hongera wa michano...nyimbo hiyoo ninayo kwa list yang...ngojaa nichek..kuna bwana mdogo alivuma miaka 2010 - 2012 alikuwa wa Iringa
alikuwa na kichogo hivi
moja ya maneno kwenye wimbo wake hiphop........ msinishangae vile nina kisogo...........
Duh aiseee, msanii gani huyo mkuu"Ndugu zangu wamenitenga, kitu kibaya wamenifanyiaaaa, sikujua napokwenda mi ila Mungu bado ananipenda"
Bongo fleva hii ya enzi hizo, jamaa mpaka alilrogwa akaanza kuokota makopo, wakitaka kumgeuza msukule
Chelea man - Nipende kama nilivyo
Sikumbuki jina la huyu msanii ila ni kipindi kile cha akina mabaga freshDuh aiseee, msanii gani huyo mkuu