Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
kuna bwana mdogo alivuma miaka 2010 - 2012 alikuwa wa Iringa
alikuwa na kichogo hivi
moja ya maneno kwenye wimbo wake hiphop........ msinishangae vile nina kisogo...........
 
Kuna wimbo wa dini wa kitambo kidogo unahusu Mama mwenye ugumba,anamuomba Mungu amsaidie. Mwenye kuwa nao au kuufahamu naomba anisaidie
 
Mi nazitafuta nyimbo izi mbili tu oh yeah foxy brown na julio iglesias when i need you iwe katika mfumo wa mp3 nitashukuru sana
 
Nautafuta huu
 

Attachments

  • ‎@la_princesse_de_son_papa‎20240106‎_Phoenix.mp4
    908.3 KB
Huu wimbo nilikuwa nautafuta sana mkuu, hadi jina nilikuwa najitutumua kulipata sijui nyemo dah finally I got it umetisha!
 
Huu wimbo nilikuwa nautafuta sana mkuu, hadi jina nilikuwa najitutumua kulipata sijui nyemo dah finally I got it umetisha
Natafuta wimbo wa maalim ft bayo mafelo alienao
Mwenye huu wimbo wa hawa jamaa walikuwa wanapiga sana redio free miaka ya 2000's
 
"Ndugu zangu wamenitenga, kitu kibaya wamenifanyiaaaa, sikujua napokwenda mi ila Mungu bado ananipenda"

Bongo fleva hii ya enzi hizo, jamaa mpaka alilrogwa akaanza kuokota makopo, wakitaka kumgeuza msukule
 
Huu wimbo umeimbwa na nani?
Msaada tafadhali
"Tanzania nchi yangu nakupenda sana, nchi inapendeza nchi niliyo zaliwa, naneiwe naneiwe"
Huo siyo mpangilio wa mashairi ila hayo ni baadhi ya mashairi yake, mwenye kuujua tafadhali
 
kuna bwana mdogo alivuma miaka 2010 - 2012 alikuwa wa Iringa
alikuwa na kichogo hivi
moja ya maneno kwenye wimbo wake hiphop........ msinishangae vile nina kisogo...........
Hongera wa michano...nyimbo hiyoo ninayo kwa list yang...ngojaa nichek..
 
"Ndugu zangu wamenitenga, kitu kibaya wamenifanyiaaaa, sikujua napokwenda mi ila Mungu bado ananipenda"

Bongo fleva hii ya enzi hizo, jamaa mpaka alilrogwa akaanza kuokota makopo, wakitaka kumgeuza msukule
Duh aiseee, msanii gani huyo mkuu
 
Natafuta wimbo uliopigwa na Tanga International miaka ya 80. Jina sikumbuki lakini huenda ni Roza.
 
Back
Top Bottom