Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Kuna wimbo ulikuwa unatumika kwenye kipindi fulani cha usalama barabarani,baadhi ya maneno unasema msukosuko wa mawimbi maji yakishakuingia,madereva wenye fujo yafaa kuwakimbia.

Mwenye nao anipatie p'se
 
kuna nyimbo sijui inaitwaje, wanaimba "aeee yeeeee kombolaweee ayeee komboo, ayeee"

mzee flani ivi sijui msouth africa yule?

anayeijua plz
 
Kuna nyimbo flan ya washkaj walikua wanajiita war will wanamuongelea marehemu. Alaf kuna nyimbo ya jamaa anaitwa Pablo alikua karibu na daz nundaz kaimba na domokaya
 
Natafuta wimbo wa 1.Zena wa Buguruni ulipigwa mwaka 1971 bend nimesahau 2.Monzo huu ni wimbo wa Congo umepigwa mwaka 1968 bend nimesahau 3.Vicky masomoni huu umepigwa hivi karibuni na Tanga International miaka ya mwanzo ya 80
 
HBC ya kina proffesa J wimbo una maneno "mwokozi nitoe roho niepuke hili balaa, maisha nilichezea leo hii nalala na njaa'
 
Kuna songi la twanga pepeta jina siujui ila una maneno Nina nguvu stemina kama jeradi napiga miguu yote kama ronaldoooo napiga magoli didie Drogba
 
Kuna wimbo mmoja sijui unaitwaje ila una maneno haya

Mayangiseeee ooooooogh mayangi kula mambooo x2
Nguku kupilika maaaaapuuuumbuuuu kuvimbaaaa ngiiiiiiiii sina kituuuuuuuuuuuuuuu x2
Sambukileeeeeeeee marashi ya mbalambalaaaaa

Mwenye nao aurushe huku niufyonze
 
Back
Top Bottom