last king of uscoch
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 2,728
- 3,980
Huu wimbo mnatuma auMwenye huo wimbo wa Ooh ooh Tanzania,waliomba Tanzania all star anirushie,manake nimetafuta bila mafanikio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu wimbo mnatuma auMwenye huo wimbo wa Ooh ooh Tanzania,waliomba Tanzania all star anirushie,manake nimetafuta bila mafanikio
Hahaaaaaaaaaa hta mm nmejkuta nautafuta tena nmekumbuka ile bendi ya mapipa. Big up sana kanali F.Masawe enzi zake Good Headmaster ever seen.Tazama ramani by jitegemee, huu wimbo nausaka bila mafanikio
...amekimbia Zambia na treni ya mizigo, kisa cha kukimbiaa madeni yamezidi doki kumi za khanga alizokopa hajaliaaa...kuna nyimbo moja ya zilipendwa siikumbuki jina...ila inaimbwa mama nipe nauli nikamfute monica
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Kuna ngoma moja ya hip hop beat lake tu ni sheeda sijui inaitwaje beat linavinanda ...tata Tara tata rara ra rirarira ri rara...
Nikumbushe jina niitafute YouTube
beatrice zahiri zoroNgoja niutafute mkuu
Mwenye huo wimbo wa Ooh ooh Tanzania,waliomba Tanzania all star anirushie,manake nimetafuta bila mafanikio
Tupia humu basi huo wimbo, huwa nsutafuta sana bila kuupatakaimba amina ngaruma wimbo unaita mapendo band african revolution tam tam ninao
wameutupia tayari.Mwenye kuujua wimbo mmoja hivi TBC walikuwa wanatumia kwenye kutangaza matangazo ya vifo na kumbukumbu kaimba mwanamke. Ni wataratibu flan hivi.
Naomba hata jina tuh [emoji120]
Asante sana nilikuwa nautafuta sana. Ngoja niudownloadwameutupia tayari.
anaitwa Enya wimbo "once you had gold"
Ana play list nzuri sana.Asante sana nilikuwa nautafuta sana. Ngoja niudownload