Shukran American nigga!
Samahani Boss, kama utakuwa na wimbo wa madaraka ya jikoni bu nina musica
Nnao mkuu ila sijui kuupakua humu.Dimond soud baba. Kimalumalu na ikibinda nkoi
Kuna jamaa katoa mafunzo namna ya ku upload! Ni rahisi tu, reply attachment kama audio chagua pc kwenye file husika unaleta hapa.Nnao mkuu ila sijui kuupakua humu.
Narudi nyumbani remmy ongala...plz mwenye huo wimbo
Miss MalaikaMsaada…
Kuna wimbo aliimba aliyekua mtengenezaji nyimbo na mwanamuziki maarufu `SAID COMORIEN` jina la wimbo silijui.