Inauma -20%
Pasha"Watu wanasema nisikufuateee,tena ikibidi nisikukumbuuuke,thamani ya kitu ajuaye mwenye chakee,niacheni chozi linidondoke.Nikikumbuka iyo sura yaaake ...."
Wakuu anayeukumbuka huo wimbo naomba anitajie hata jina la wimbo au aliyenao aniwekee hapa please .
Ni wimbo aliouimba Kwa sauti zilizolangiliwa vizuuuuuurii sana.
Msaada Please,
Mbn km sauti ya pasha (anaenifanya nikose raha ndoninaemwimbia)PNC FEAT. MR BLUE wimbo unaitwa mbona
upo youtube huu aiyeimba anaitwa Be_boi wimbo sina demuAliyeimba nimemsahau ila unaitwa sina demu....ukiugoogle utaupata hakika
Jamani... Mnikumbuke..Natafuta wimbo wa dini umeimbwa Na Kinondoni revival kwaya, wa kitambo kidogo unaitwa "wrong number shetani kwangu".
Pia kuna wimbo mwingine umeimbwa Na Nioth Prophetical singers unaitwa " Mapambazuko" upo kwenye album yao ya "Unangoja nini".
Na hapa piaKuna wimbo wa kitambo kidogo, unaitwa Birthday, kiitikio kasimama babu Ayubu.
Mahudhui ya wimbo ni kuwa siku hiyo ya Birthday aligonganisha madem zake wawili, ilitokea mara baada ya MC kusema ***** mheshimiwa aje kula keki, mara ghafla madem wawili wakainuka...
kuna msanii wa kike rnb kainba what does not kill you make stronger kweye lryics ya huo winbo ila jina la msanii na winbo ,mm silijui .Nisaidien plz !!