Hapa mwisho. Sitasahau huu wimbo nilipousikiliza nikipanda ndege kuelekea nyumbani Tanzania wakati huo
 
Mnisaidie na jinsi ya kudown load nyimbo zenye format ya video zinazopandishwa humu
 
Nimefanya mema mengi kupita uwezo wangu,nimekubeba lakini haubebeki...uzalendo umenishinda...by muumin mwinjuma jina LA wimbo silijui wakuu
 
Kuna nyimbo za dada mmoja wa Kenya sijui alikuwa anaitwa nani nyimbo ya chakacha yanilisha chakacha yanivisha alikua na albam kabisa naitafuta sana
 
Pasha
 
Minaomba mnisaidie wimbo wa adele helo kila nikipakua hauiingii kabsa
 
peace and love mwimbaji ana sauti kama ya lucky dube
 
Natafuta wimbo wa dini umeimbwa Na Kinondoni revival kwaya, wa kitambo kidogo unaitwa "wrong number shetani kwangu".

Pia kuna wimbo mwingine umeimbwa Na Nioth Prophetical singers unaitwa " Mapambazuko" upo kwenye album yao ya "Unangoja nini".
Jamani... Mnikumbuke..
Na hapa pia
 
Mi natafuta wimbo wa Bushoke
siujui jina ila maneno yake ndani yanasema"kama ulikua hutaki ishi nami kwani hukuneleeza mapema..........nk....
 
Kun wimbo unaitwa umelala mtalimbo. Nautafuta sana.
 
URITHI GANI TUNAWAACHIA WATOTO WETU. KWAYA YA MOYO MT. WA YESU SINGIDA. NIKIPATA VIDEO YAKE YOTE NITAFURAHI SANA
 
Wimbo wa Mzee Zollo unaitwa Cleopatra ( current version)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…