Dah,!!mkuu ubarikiwe sana, hii KAZI naipenda sana.Mkuu.. Huu hapa, but nili record from Redio.. Katambo, ila uko vizuri sana
Mkuu nimeshindwa kuu downtown, sijui nafeli wapi?Mkuu.. Huu hapa, but nili record from Redio.. Katambo, ila uko vizuri sana
Huu hapaKuna wimbo simkumbuki jina aliyeimba ila kiitikio kinaimbwa hivi "sio kwamba sitaki demu, ila sijaona mwenye sifa uzuri wako ulionao malaika wangu" ..... naomba unisaidie kama unaweza upata.
Watoto shooow.... Watoto wasafi moyoni... Njooo tazama utawaonaaanatafuta wimbo wa watoto show, ya radio one jumamosi kipindi cha watoto, ule mziki unaopigwa kabla ya kuanza kipindi cha watoto
huu ninao ngoja nichek kweny diaryKuna wimbo fulani uliimbwa na Watu fulani ni kama Sokous hivi ndani yake jamaa anasema ''maboko likoloo'' nautafuta sana
Kwenye hiyo LP (Vinyl):Huu apa jina jingine unaitwa i'm not a casanova mzee.
nautafuta wimbo unaitwa 'fanta' - papii kocha
'msela' - mawingu band
'mazoea Yananikondesha' - mzinga group
Huo "mama" wa GK na mimi nautafuta sana...ile original version.1.Makongoro-Dereva kalewa Pombe
2.Makongoro-Afya bora Kuleni kuku mayai nyama Samaki maziwa.
3.Unique sisters ft mac d-Bounce
4.GK ft Fina Mango-Mama
5.Soggy ft unique sisters- I luv u 2.
[emoji115]Hakuna hata mmoja mlioweka.
Na mimi nautafuta sana huu mkuu..na mwingine 'JIKO LIMENUNA' nadhani hapa Fanani kashirikishwa.Mwana mnyonge wa fanani na q chilla
see you again?Walioaga dunia
JE KIONGOZI, NAWEZA PATA WIMBO FLANI UNAOSEMA,,, PARAPANDA IKILIA ULIMWENGU UTAMWONAAA MWANA KONDOO AKISHUKA NA UTUKUFUU, AKIBAGUA KONDOO NA MBUZI. Uliimbwa na Dada MKENYA anaitwa Esta. Ila sio yule Esta waome. Pia asante, mkuuu unatusaidia sana. Mungu akubariki sana, maana tunapata vitu adimu.Mkuu.. Huu hapa, but nili record from Redio.. Katambo, ila uko vizuri sana