mwita ke mwita
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 7,922
- 3,618
DAH!! kwakweli huu uzi ni mzuri ajabu.
Mkuu Neema Jeconia Chavala,, Hata kama jaribu lako liwe kubwaaa, lifananishwe na mlima Kilimanjaro
Anaitwa Sipho Mabuse, ni msouth km sikosei..u download upo you tubeWimbo flan ambao umeibwa kuisifia Zanzibar na aliyeimba cjajua km mzungu au nani,
mistari ya chorus inaimbwa hvi
"beautiful part of Africa, Zanzibar ooooh Zanzibar, Zanzibar ooooh Zanzibar
Natamani Sana niijue BT Ni nyimbo ya muda kidogo
Sipho Mabuse-zanzibarWimbo flan ambao umeibwa kuisifia Zanzibar na aliyeimba cjajua km mzungu au nani,
mistari ya chorus inaimbwa hvi
"beautiful part of Africa, Zanzibar ooooh Zanzibar, Zanzibar ooooh Zanzibar
Natamani Sana niijue BT Ni nyimbo ya muda kidogo
NotedSipho Mabuse-zanzibar
Mkuu nashindwa nikushukuru Vp , yani naipenda hii nyimbo acha kabisa .....thanks aiseeSipho Mabuse-zanzibar
Aminata_____ twanga pepeta
Mambo bado_ Nuruelly ft Fid Q/ Mapacha
shukrani man
Si ndo ule yupo babu Ayubu??? Ukiupata boss Na Mimi ni tagWimbo wa HK Ft Dully _ Happy birthday nimehangaika sn
Hizi mm ninazo nitafute inbox nikupe hata sa hizNatafuta wimbo wa Dotnata wa fm academia.na mnyonge mnyongeni wa TOT plus.
Unaweza kunitumia Ndugu yangu kwa whatsapp?Hizi mm ninazo nitafute inbox nikupe hata sa hiz