Nakuongezea na huu anaimba kiswahili.Hapana wewe mtu ni kiboko aisee hii nyimbo nimeitafuta Sana Asante Sana kaka km unaweza nisaidia nipate nyimbo zozote za Korea, China, Spain, Brazil, Mexico nitafurahi Sana lkn Korea zisikose
Mkuu vp huo wa mwisho wa fm ujaupata maana hata mm nautafuta sanamkuu habari za mchana mm nilikua naomba mtu mwenye nyimbo zifuatazo;khadija fm academia,mto wenye mamba wengi mchinga sound,nguzo tano za mapenzi mchinga generation,ndoa ya lazima juma kakere,visa vya baba mkwe t.o.t plus,bana beta beta musica,madaraka ya jikoni nina musica na ule wa fm academia jina limenitoka lakini unaimbwa;selina wangu macho kama japanise nakuimbia leo mapendo ni moja,machozi yangu inatoka kama mvua,nikizipata hz ntatoa zawadi aisee
Au unazungumzia just a moment quian fet nas scoba. Maana beat lake utafikili MAJI yanayomwagika kwenye glass[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mbn hazifunguki mkuu,ndoa ya lazima sio yenyewe ninayoitaka mm ni ile iliiimbwa na juma kakere nakumbuka ipo katika albamu yake iitwayo BETTYNdoa ya Lazima sijui kama ni yenyewe!
!!!!!!!Mbn hazifunguki mkuu,ndoa ya lazima sio yenyewe ninayoitaka mm ni ile iliiimbwa na juma kakere nakumbuka ipo katika albamu yake iitwayo BETTY
Me natafuta sana wimbo fulani wa zamani unaitwa sijui " Homa imenirudia"
Sijui kama ni wenyewe!
Duuu mkuu shukrani sana. Ndio huu huu aisee
mkuu naomba wimbo wa sikinde uitwao adha ya chumba kimoja,fm academia jimi chocolate,t.o.t plas visa vya baba mkwe utunzi wake papii kocha,na chuchu sound wimbo uitwao kusema sema rmx na laila utunzi wake marehemu yusuph chuchu na wimbo wa nina music madaraka ya jikoniMwenye wimbo wa Juliana Kanyomozi unaitwa Woman, naomba aweke hapa.