wimbo mmoja melody yake ipo ivi * Siku uliyoondoka uliniacha nalia na majozi oohoo sakinaa, sipati usingz ..........* inaendelea mbelee
Huu wimbo wa Marijani Rajabu, Unaitwa Jojina. jaribu Youtube.
 
Habari wapendwa!
Kuna wimbo nimekuwa nikiutafuta sana, sina hakika na jina lake ila una mashairi yanasema
" Rhoda mpenzi wangu Rhoda, umasikini sikuomba kwa Mungu, Umasikini wala si kilema, Wakusema nitakufa nacho, Siku moja nitakua tajiri, Ntanunua gari la benzi, kama lile nililo ona, Mlangoni kwa kina Rhoda" Nimejaribu utafuta huu wimbo youtube bila mafanikio, mwenye nao akinisaidia kuuweka hapa atakua ametenda vyema.
 
Kuna wimbo wa lucky dube anaimba kizulu kama wa kanisani ivi yupo na hakina mama.mwanzo wa wimbo dube yeye anaongea kama sekunde 50 hivi sema sijui jina lake nimeutafuta sana aisee
Siyo 'Khululeka' hyo? Ijaribu kuidownload mi nimeshindwa kuipakia hapa
 
"I am gonna be allright" JL feat Nas
 
Yote yana mwisho Remmy Ongala super matimila, nitaupata wapi?
 
Mkuu naweza kupata Indege wa In Afrika band...
 
Wangwana Wangwana [emoji445][emoji445]

Naisi ni Wanaija Walioimba Nausikiaga sana Kwenye ViFunny Video Clips
 
Long Distance Love na Picture of the Woman I love, hizi zilikuwa katika album ya "Broken Hearts vol. 27" Ntashukuru mno
 
jamani hizi nyimbo za diamond mwenye nazo hasa hizo kibinda nkoi
 
mwenye wimbo Wa Kali p nahc kama kashilikishwa....
unaimbwa.........
"sijapata kuona mrembo kama wee
mooyoni ulienivutavuta
natamani kuwa nawe
nakuomba unielewe beibi"
mwenye nao please nisaidie
 
pia mwenye wimbo Wa ......
"Tanzania you are a beautiful country
Tanzania you are my country
in the woord"
wimbo uliimbwa na watoto flan wa kike watatu wanaisifia Tz,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…