god zila f. T alikiba wimbo unaitwa milele
 
ulijidai mbabe sana, unaumika sana pale tim kubwa zinapofungwa kwa alienao anitajie hata jina na waimbaji wale
 
Mwenye wimbo wa solo thang unaoitwa simu yangu anisaidie
 
Kuna wimbo mmoja kashirikishwa PNC unaimbwa hivi... sema nini nikufanyieee ili uendelee kuwa na mieee..
Mwenye nao atume humu plzzzzz
 
wakuu naitafuta muda mrefu sana nyimbo inaitwa yatima hadekezwi ya kyman ft squeezer...,,..mwnye nayo aitupie apa..ntashkuru sana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…