popbwinyo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,986
- 3,615
Mimi Full,mimi ni zaidi ya msanii-yuko Geez Mabovu,fid q,Jay mo na wengine wengi,beat ya Lamar....aliyenayo anisaidie wazee
Nnao huu mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi Full,mimi ni zaidi ya msanii-yuko Geez Mabovu,fid q,Jay mo na wengine wengi,beat ya Lamar....aliyenayo anisaidie wazee
Ishawekwa humu fuatilia uzi vizuriKuna ngoma moja inaitwa Raphael chorus yake "Ni namna gani.... ni jinsi gani... tutawini maishani mpaka siku tunasema buriani" aisee meku nitafutie hiyo nyimbo
Huu apa
Shukurani mkuu
Kuna ile pia Miss Malaika kama unayo ya huyu huyu jamaa
Duh, wewe sasa sijui unasaidiwaje!
Okei, je wa whitney houston: i will always love you!!
Uzi huu mzuri sana ni kama vile tunarudi ujanani. Naomba nyimbo za Vijana Jazz katika ule mtindo wa TAKATUKAkwa kadri utavyozipata.
Nitext whatsapp 0625579184 nikutumie hiyo nyimba whatsappMkuu,,
Kama umechota uhitaji wangu..
Huu wimbo nautafuta sana lakini siupati..
Elimu ya mjinga ni majungu-R.I.P banza stone..TOT PLUS.
"Bora ukose Mali upate akili".
Unaitwa stellah jamaa anitwa freshly mwamburi,Ninao ila nimeshindwa kuuweka hapaUle wa jamaa aliyeuza mbuzi mabata kuku kumsomesha demu nje ys nchi demu karudi na mimba
Huu ninaoMkuu,,
Kama umechota uhitaji wangu..
Huu wimbo nautafuta sana lakini siupati..
Elimu ya mjinga ni majungu-R.I.P banza stone..TOT PLUS.
"Bora ukose Mali upate akili".
Fanani alikuwa HardBlastersNaomba mtu anisaidie hizi:-
1. Mama (original version) - King Crazy GK
2. Blah blah- Mr. Two
3. Nimesimama - Mr. Two
4. Jiko limenuna - Fanani (LWP)
NinaoMabegi bila nauli Gosby ft young d & Godzilla
braza umecheza sana kutupa nyimbo ila hapa umecheza kama pele. nimeutafuta sana hatimaye nimeupata
Ule wa jamaa aliyeuza mbuzi mabata kuku kumsomesha demu nje ys nchi demu karudi na mimba
na mm nautafuta vibaya mmno mwenye nao atufanyie mchakato tuupateMwenye wimbo wa Beatrice wa Mass Media Band nauomba
mpiga debe hiyo imeibwa na mzimuni family f. t q chiefMpiga debe- Rap Nature & Q chief
band inaitwa mass media wimbo unaitwa Beatrice na mm nautafuta saaana mtu saidie wadau kama mnaoBetty.......imeimbwa na Zahir Zorro na bendi yake baba yake Banana Zorro kwa anayefahamu jina kabisa la nyimbo anisaidie