Nahonyo
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 5,550
- 5,379
Kuna nyimbo mbili nazitafuta bila mafanikio.
1. Wimbo Salamu Baba na Mama, wa National Servence.
Mashairi yaliyomo:
Salamu Baba na Mama, nazituma kwa furaha
Bila shaka zitafika,
Tufurahi nyote bila manung'uniko wapenzi yeee
Kwa mimi ninafuraha sana, kuwakumbuni nyie
Wala msiwe na shaka juu yangu mie
Mimi ninawaombe heri, na baraka nyote
Nisalimieni wakiyanga wote.
2. Wimbo wa pili Unaitwa Uzazi wa Majira, baadhi ya mashairi yaliyomo kwenye wimbo ni kama ifuatavyo :-
Shamba letu ee bwana limesimama,
Kilimo cha peke yako mpaka lini,
Usiku nimesikia saa, majira yanagongana mpaka sasa.
Band iliyoimba siikumbuki, Nadhani kati ya Western Jazz, Jamhuri Jazz, Dar Jazz ama Nuta Jazz.
Sina uhakika hasa, ila wahenga wenzangu, watanikumbusha.
1. Wimbo Salamu Baba na Mama, wa National Servence.
Mashairi yaliyomo:
Salamu Baba na Mama, nazituma kwa furaha
Bila shaka zitafika,
Tufurahi nyote bila manung'uniko wapenzi yeee
Kwa mimi ninafuraha sana, kuwakumbuni nyie
Wala msiwe na shaka juu yangu mie
Mimi ninawaombe heri, na baraka nyote
Nisalimieni wakiyanga wote.
2. Wimbo wa pili Unaitwa Uzazi wa Majira, baadhi ya mashairi yaliyomo kwenye wimbo ni kama ifuatavyo :-
Shamba letu ee bwana limesimama,
Kilimo cha peke yako mpaka lini,
Usiku nimesikia saa, majira yanagongana mpaka sasa.
Band iliyoimba siikumbuki, Nadhani kati ya Western Jazz, Jamhuri Jazz, Dar Jazz ama Nuta Jazz.
Sina uhakika hasa, ila wahenga wenzangu, watanikumbusha.