ISLETS
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 8,120
- 5,352
Mkuu kama una Karibu tena ya Joh Makin naombaUmeipata. Hii hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kama una Karibu tena ya Joh Makin naombaUmeipata. Hii hapa
Huu hapa. PakuaNje ndani gangwe mobb mwenye nao please
Hii hapa ndugu. Enjoy while it lastsMkuu kama una Karibu tena ya Joh Makin naomba
Ungejua jina la wimbo ungekua umerahisisha kazi!Kuna nyimbo flani hivi chorus yake inaimba hv :
"Tuwe karibu
Mpenzi karibu
Tuishi pamoja
Aha a. "
Muhimu kujua jina la wimbo ili isaidiwe kwa urahisi“Nilipokutana nae, kwa mara ya kwanza.
Nilitamani kumwambia, aah moyo ikasita.
Mawazoni nilidhani, bado mapema.
Na sasa nimechelewa, sijui pakumpata”.
Hii ngoma ya Ray C kitambo hicho nimeisahau jina, naomba mwenye nayo anisaidie angalau aiweke humu nitaipakua siku nikiwa kwenye mtandao mzuri.
Lakini pia nasisitiza ombi langu, anaeweza kunisaidia kutuma hizi ngoma za zamani kwenye email yangu anisaidie.
ngoshiwani1@gmail.com
Asanteni
Un pm namba yako nikurushieMimi natafuta sana kibao cha Elimu ya Mjinga toka kwa Banza Stone.
ningeujua jina ningesha upata.Ungejua jina la wimbo ungekua umerahisisha kazi!
Habari mkuu.Huu hapa man.
Enjoy
Daaah nilishiriki hiyo record way back nikiwa dent paleTazama ramani by jitegemee, huu wimbo nausaka bila mafanikio
Habari mkuu.
Mkuu kuna hivi vyuma chakavu ni hatari sana yaani mpaka Leo vikigongwa lazima ushtuke balaa lake sio LA kikawaida.
Naviomba mkuu.
1.Professor J_Nipoze moyo mama nimechanganyikiwa na penzi lako LA gharama Emam SAA...
2.Fid Q_Ninapopita mtaani
3.SolidyGround Family_Mechi Kali.
Hivyo vyuma chakavu saaanaaaaaaaaaa.
Mkuu Fanya jambo aisee.
Shukrani.
Moja hii hapaAisee mimi natafuta ngoma za xplasta ...wakina faza Nelly
Unamaanisha moyo wangu ama?Oh moyo wa Diamond Platinumz