Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Mwenye wimbo wa Jos Mtambo-kizazaa
SOS b-Kukuru kakara zako
2proud-ni mimi
Hardblasters-weusi twapendeza
Naomba anisaidie kutupia humu
 

Attachments

Waungwana natafuta nyimbo mbili moja inaitwa kithatha(ni wakati wa kujilinda sasa mtakoma mtaenya na kithatha) jamaa aliimba chorus kama mtu mwenye kithembe kwenye ulimi! Mwingine wa jamaa walikua wanaitwa big dog pose
 

Attachments

1:NAOMBENI NYIMBO HIZI:-
SI ULILETA NYODO - WA DAJOO

2:WAPE VIDONGE WA SUMA G

3:TUMBO DENI LA DUNIA WA USWAHILINI MATOLA

4:JIKO LIMENUNA WA ZIG ZAG CREW

5:HEKAHEKA ZA TEACHER WA G SOLO NA INSPECTOR HAROUN

6:SITAKI DEMU RMX WA J NATURE ILA SIKUMBUKI ALIEMSHIRIKISHA.

NINGESHUKURU SANA KUZIPATA HIZI SABABU NIMESHAZITAFUTA HADI NIMECHOKA.
 

Attachments

Kuna wimbo wa viraka f.t q jay unaitwa niambie ukweli kama sijakosea nauomba pia kuna wimbo wa PNC unaitwa mama na dhan ndio wimbo wakwanza kwanza enzi izo anaingia dar pia natafuta wimbo wa stive rnb unaitwa msamaa una maadhi ya rege pia nahisi ndio wimbo wake wa kwanza@kioo na watu wengine msaada wa hizo nyimbo

Ni huu au...?
 

Attachments

Back
Top Bottom