vuvunduli
Senior Member
- Jan 15, 2012
- 164
- 125
Mzigo huo kaka enjoy....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzigo huo kaka enjoy....
Wadau natafuta wimbo wa vijana jazz band unaitwa VIP mwenye nao naomba anisaidie
Asante sana mkuuSamahani aisee.
Ningependa kujua maana ya username unayotumia unamaanisha nini kiongozi...?
Thanks a lot.
[emoji3][emoji3] watu wa dizaini yako mnawatesaga Sana jamaa wanao burn music kwa kompyutaKuna goma moja la kibabe Ngwair{RIP} alimshirikisha Juma Nature bahati mbaya nimesahau verse na chorus ila hapa napoandika beats zake zinanijia kichwani ila kuuelezea zaidi kwa ufasaha nashindwa ila beat lake likitaka kufanana na beat la Shock Ones la Mobb Deep naomba mwenye nayo hii ngoma anipe link.
Thanks in advance wakuu.
Samahani aisee.
Ningependa kujua maana ya username unayotumia unamaanisha nini kiongozi...?
Thanks a lot.
Poa mkuu nimepata hiyo mamsap lakini 'Kubwa kuliko" sio hii, ile ni kubwa kuliko ya HBC na Fanani anachana sana.Enjoy mkuu
Mkuu Steve ngoma ni hii...Daah utakua umenisaidia sana mkuu...thanks in advance!!
Unaitwa you can't see meWakuu Habari za sasa.
Kuna wimbo flani hivi wa JOHN CENA yule mpigana mieleka ila sijui unaitwaje huwa unapigwa kipindi anaingia uwanjani kupigana.
Tafadhali kama kuna mtu anao nauomba.
Shukrani
Wakuu Habari za sasa.
Kuna wimbo flani hivi wa JOHN CENA yule mpigana mieleka ila sijui unaitwaje huwa unapigwa kipindi anaingia uwanjani kupigana.
Tafadhali kama kuna mtu anao nauomba.
Shukrani
Mkuu kama unao naomba uweke hapa tafadhaliUnaitwa you can't see me
My time is now
Mkuu Steve ngoma ni hii...
Mzigo huo hapoMkuu kama unao udondoshe hapa tafadhali
Shukrani MkuuMzigo huo hapo