Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

Attachments

Wimbo flani hivi mashairi yake yanasomeka - [emoji444]" baada ya kumaliza masomo nilipata kazi, wazazi wangu walinihusia jinsi ya kuishi na walimwengu"......-Halaf kibwagizo- " nawashukuru wazazi wangu wakati wote, ushauri wao uliniletea mafanikio mema sasa naishi na watu vizuri oooooh jamaa"

Wapi ntaupata bandugu?
 

Attachments

Back
Top Bottom