Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Mimi natafuta kule kikatuni cha chura kilichokuwa kinaonyeshwa kenye Chanel ya east african tv cha kipindi cha uswazi kama sijakosea mwanangu anakipenda nahitaji video zake kama zote zipo tafadhali
 
sasa KIOO naomba utishe zaidi kwa kuntumia hizi my hitsong za genge of all the time:

1. E-Sir - Mos Mos
2. E-Sir ft Lenny- Kamata
3. Longombaz- Dondosa
3. Flexx- Amejibeba
4.P-Unit- Kadhaa original version
5.P-Unit - Hapa kule
6.Nameless - Amenipa juju
7.Nameless - nasinzia
8.Juacali - Kiasi
9. Mejja - Landlord
10. Karma n' pam, wyre ft Nyashinski - Sina noma nae
11.Mr.Lenny - Leo
12.Amani ft. nameless - Mimi na wewe
13. Besta - baby boy
14. Neccessary noise- Fire anthem
15.Wyre-Chuki
16. Amani - Natamani (tamani...tamanii)
 

Attachments

sasa KIOO naomba utishe zaidi kwa kuntumia hizi my hitsong za genge of all the time:

1. E-Sir - Mos Mos
2. E-Sir ft Lenny- Kamata
3. Longombaz- Dondosa
3. Flexx- Amejibeba
4.P-Unit- Kadhaa original version
5.P-Unit - Hapa kule
6.Nameless - Amenipa juju
7.Nameless - nasinzia
8.Juacali - Kiasi
9. Mejja - Landlord
10. Karma n' pam, wyre ft Nyashinski - Sina noma nae
11.Mr.Lenny - Leo
12.Amani ft. nameless - Mimi na wewe
13. Besta - baby boy
14. Neccessary noise- Fire anthem
15.Wyre-Chuki
16. Amani - Natamani (tamani...tamanii)
 

Attachments

sasa KIOO naomba utishe zaidi kwa kuntumia hizi my hitsong za genge of all the time:

1. E-Sir - Mos Mos
2. E-Sir ft Lenny- Kamata
3. Longombaz- Dondosa
3. Flexx- Amejibeba
4.P-Unit- Kadhaa original version
5.P-Unit - Hapa kule
6.Nameless - Amenipa juju
7.Nameless - nasinzia
8.Juacali - Kiasi
9. Mejja - Landlord
10. Karma n' pam, wyre ft Nyashinski - Sina noma nae
11.Mr.Lenny - Leo
12.Amani ft. nameless - Mimi na wewe
13. Besta - baby boy
14. Neccessary noise- Fire anthem
15.Wyre-Chuki
16. Amani - Natamani (tamani...tamanii)
 

Attachments

Natafuta jina la wimbo huu
 
Natafuta jina la wimbo huu
View attachment 1080723
unaitwa


photo.jpg

CHANTE BANA CONGO TOSIMBANA MABOKO - Fr DONNAT MWANZA
 
Wakuu kuna wimbo unaitwa mpira pasi bwana kaimba nyang'au mmoja wa dar anaitwa kimbunga mchawi,mwenye nao tafadhali atupie hapa nimsikilishe mkuu wa kitengo atoe pass.
Tehteh hiyo ni hiphop kuna mwingine unaitwa mbongo by kimbunga mkuu kioo tuletee hizi ngoma chief.
 
Write your reply...1: mwanafa ft kwanza unit_haturap
2: nusu peponi nusu kuzim_hbc
3:Mwanafa ft dudu baya _vase moja
4: gwm_ yamenikuta
5: mack dizo ft inspector & balozi_homa ya jiji
 

Attachments

kila ninavyozidi kizisikiliza na nyingine zinanijia maana mwaka nilikua nina kanda (tape) 198 nakumbuka na zote nilikua narecord vipind vya bongo flaver vya Abubakary Sadiq so nina correction naanza kuirudisha kupitia humu..

kuna hizi nyingine.
Jaji Hakim-hivi ndivyo ninavyofanya
Wakina Mike Tee- Masela ( hae hae masela, tupo kamili si masihala, hae hae masela)
Style Gani - jamaa wa kundi la kina joslyn
Zay B ft Jay Mo - Hatari Kitu Gani
Kafa- Kafa nani, usiulize we jua tuu amekufa.
Matomya- Mrembo na Uaminifu
Solid- Baba Jane
Zigzagg crue-jiko limenuna
bantu mcz-tangazo
 

Attachments

Back
Top Bottom