ilovebrenda
Senior Member
- Jun 23, 2019
- 105
- 74
Duuh! Nina gundu yaanMkuu Kioo naomba wimbo unaitwa EKIBINDANKOI sijui aliimba nani, pia wimbo unaitwa SANURA wa Tongolanga na nyimbo za NASMA KHAMIS KIDOGO (Taarabu)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh! Nina gundu yaanMkuu Kioo naomba wimbo unaitwa EKIBINDANKOI sijui aliimba nani, pia wimbo unaitwa SANURA wa Tongolanga na nyimbo za NASMA KHAMIS KIDOGO (Taarabu)
Naomben wimbo Wa Nash mc mwalimu mashaka
So far away by Alikiba
Nikki mbishi. ..utamaduni nitafuta saaaana alie nayo please please please
Ukizipata nitumie piaNyimbo za jeshi la sungusungu la wasukuma wasalamaa
Habar gan ndg naomba mwenye nyimbo ya mchinga sound inaitwa mwaka wa tabu na nyingine kaimba jose mara inaitwa chozi la yatima
Kumbukumbu zinagoma Sidhani kama kuna Wimbo wa Extra Musica unaitwa Mapenzi kitu gani!! Labda una maana Diamond MusicaNaomba wimbo wa “Extra musica Mapenzi kitu gani”
Ndiyo natafuta Wimbo wa "Wamama watu wazima"Yaani wee ni mgeni umejiunga leo na hii ndio msg yako ya kwanza...?
1: tuko bwaa rmx _ capital letaz
2: bui bui sijali mabaya
3: nako 2 nako _ ndio zetu
4: dani msimamo ft mkoloni _ aku
Naomba Wimbo WA farida upendo WA mama
Naomba wimbo WA banana Zorro na b love anakudaganya
Naomba wimbo mpya Wa Nash mc unaitwa beti nisaidien jaman
Wimbo wa zuena