Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 15,328
- 11,192
Huu hapa. Ni wimbo wa Rich Richie Longomba akimshirikisha Lady jay Deekuna ngoma moja inasikika saut kama ya papii kocha...
chorus yake inaimba..
"nimpate wapiii, nimtafute eeeh wapi ntamuona wapiii
nitulize nisiwe na wasiwasi"
kama kunamtu anaijua anisave