Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaimba k basilwimbo unaimbwa "Mama usiniue inusuru roho yangu, usiende kwa dokta kuitoa roho yangu"
Very nice song.Nadhani umeimbwa na Beka unaitwa Upendo.Kuna kipindi niliudownload google
Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
Ngoja niendelee kuisaka mkuuMkuu unaweza kuipata hyoo nyimbo. Maana naisaka sana [emoji120][emoji120]
Ve wa mngoni kwani? Nikukota huti maana nigana kumanya. Ye nyimbu nene nivi nayo.Wakuu mwenye wimbo wa Ngoni Tribe-Mnungayembe,tafadhali auweke hapa,au kwa anayejua upo post no ngapi anijulishe..Nautafuta sana
Mi sio Mngoni mkuu,ila ni wa Nyanda za juu Kusini,nilikuwa nao kuna mtu aliufuta na memory card akaondoka nayo,naomba uuweke hapa...Ve wa mngoni kwani? Nikukota huti maana nigana kumanya. Ye nyimbu nene nivi nayo.
Kitambo sana hyo mkuu hao jamaa walikuwa wanaitwa JOINT MOBB nyimbo inaitwa MTANI JIRANI ft juma natureHuu wimbo ni wa zamani sijui kauimba nani kipindi hiko ndio vingi fleva inaanza
Unaimbwa hivii "tutoe adhabu gani juu ya hawa wanaoturoga
Jini anaeturoga ni shetani
Hio nyimbo ipo kwenye series ya money heist unaitwa Bella Chao chao lugha ni SpanishKuna wimbo wa mbele huko wanaimba kihispania cjh kimexico kipindi cha corona Mina ally wa clouds alitumia kuimbia kpande tu sema cna attachment yyt.Naomba msaada wa anaeujua
Sizan Kam n nyimb tulivokuw watt tulikuw tunachana hio mistari takijifany n ss wasaniiInaimbwa hivii
Naamka asubuhi najikuta mfupiii,
Nikicheki kiunoni nina bonge la chupii,
Naingia kabatin nakutana na mjusiii,
Nachukua mkuki natoana nae ndukii,
Hii nyimbo naikumbuka kaka angu alikuwa anaipenda kipindi hiko nakumbuka nilikuwa mdogo hata darasa la kwanza sijaanzaKitambo sana hyo mkuu hao jamaa walikuwa wanaitwa JOINT MOBB nyimbo inaitwa MTANI JIRANI ft juma nature
Guys, hamna mwenye ako na idea na haka kajimbo jamani, 😕Kuna nyimbo moja ya Ray C kaimba na mkaka simjui jina hata, siyo nyimbo ya siku nyingi sana, idea ipo kama huyo bro anamuelewa Ray C ila Ray C anamchukulia poa, kuna mahala anamuambia 'wewe ni mkangafu', na kitu kama 'pesa anayoiona kwake kubwa, kwa bidada hiyo pesa ina thamani ya cheni ya kiuno' - I don't remember the lyrics well I admit..!
Niliwahi iskia radioni, jamani nimetafuta this song mpaka nimeinua mikono, maana siijui hata jina, any idea please..!